Airtel yakabidhi vifaa vya michezo
Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania Jane Matinde akimkabidhi vifaa vya michezo Mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya soka ya vijana wa TFF Ayoub Nyenzi kwa ajili ya mashindano ya Airtel Rising Stars yanayotariwa kuanza kutimua vumbi ngazi ya mkoa Jumapili ijyayo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jana jijini Dar-es-Salaam.· Saidi Meck Sadiki mgeni ramsi ufunguzi Jumapili.
Airtel Tanzania Jana Alhamis Julai 24, 2014 imekabidhi vifaa vya michezo kwa timu 18 za wavulana zinazoshiriki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLLAPF YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO MANISPAA YA KINONDONI
10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA POLISI
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...
10 years ago
MichuziCRDB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA VIONGOZI WA DINI
BENKI ya CRDB, imetoa msaada wa vifaa vya michezo kwa timu ya Kamati ya Amani na ushirikiano ikiwa ni maandalizi ya mechi baina ya viongozi wa madhehebu ya dini.
Mtanange wa viongozi hao unatarajiwa kufanyika Oktoba 12, mwaka huu katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ikiwa ni kuadhimisha siku ya amani duniani.
Akizungumza wakati wa kukabidhi jezi na hundi ya sh. milioni tano ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya wateja, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei,...
11 years ago
GPLAIRTEL YAMWAGIA WAHARIRI VIFAA VYA MICHEZO
11 years ago
MichuziSAFARI LAGER YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA VYUO VINAVYOSHIRIKI FAINALI ZA HIGHER LEARNING POOL COMPETITION 2014 JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-at8dFEP3sX0/VIF4Bg4nQrI/AAAAAAACv70/ZFq_J-hbg3c/s72-c/1.jpg)
Airtel yatoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh mil 15 kwa chuo kikuu cha Dar es saalam
![](http://1.bp.blogspot.com/-at8dFEP3sX0/VIF4Bg4nQrI/AAAAAAACv70/ZFq_J-hbg3c/s1600/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwkcbiaf7n95HdChjZ5-u7aZbPiIhzWY5*6DUIN1Eg-l3rKHU6MWaqqXKJbDu26rOr9azJyiYP0jjCx80291GBu/001.KITS.jpg?width=650)
VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015
11 years ago
GPLWAZIRI WA HABARI,VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
CCM BlogNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYA SH. MIL 15 WILAYA YA UBUNGO