SAFARI LAGER YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA VYUO VINAVYOSHIRIKI FAINALI ZA HIGHER LEARNING POOL COMPETITION 2014 JIJINI DAR
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu(wa pili kulia) akimkabidhi t-shirt mwakilishi wa chuo cha Open University, Henry Mboga wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa vyuo vya Dar es Salaam vinavyoshiriki fainali za mkoa za Safari Higher Learning Pool Competition 2014.Makabidhiano hayo yalifanyika Coco Beach Dar es Salaam.Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager Oscar Shelukindo na Katibu wa chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Mashindano ya Mchezo wa Safari Lager National Pool Championship 2014 yazinduliwa leo jijini Dar
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo huo Taifa (TAPA), Amosi Kafwinga amesema mashindano hayo ambayo kwa ngazi ya taifa yatamalizika mwezi Septemba 14, mwaka huu.
Kafwinga amesema fainali za taifa za mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania(TBL)...
11 years ago
MichuziMabingwa Safari Pool Higher Learning wapatikana Iringa Mbeya.
11 years ago
Michuzi
SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO


11 years ago
GPL
VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015
11 years ago
Michuzi
Safari Lager kudhamini Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika 2014

11 years ago
GPLWAZIRI WA HABARI,VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi
SAFARI LAGER YATANGAZA ZAWADI ZA WASHINDI WA MCHEZO WA POOL TAIFA 2014


11 years ago
Michuzi
SAFARI LAGER YAZINDUA MASHINDANO YA NYAMA CHOMA 2014 JIJINI DAR LEO

10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA POLISI
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...