Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAFARI LAGER YATANGAZA ZAWADI ZA WASHINDI WA MCHEZO WA POOL TAIFA 2014

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habariu (hawapo pichani) wakati wa kutangaza zawadi na  maandalizi ya fainali za mashindino ya Safari National Pool Competition 2014 zinazotarajiwa kufanyika mkoani Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa (TAPA),Amos Kafwinga.Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akimkabidhi kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa (TAPA),Amos Kafwinga zawadi zitakazo kabidhiwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

TBL yaanika zawadi Safari Lager Pool Taifa

KAMPUNI ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager, jana ilitangaza rasmi zawadi za mashindano ya Pool ngazi ya Taifa ‘Safari Lager National Pool Compionship- 2014- Kilimanjaro.” Meneja wa...

 

10 years ago

Michuzi

Safari Lager kudhamini Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika 2014

 Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika (2014 All Africa BlackBall Pool Championsship) yanayotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Oktoba 16-18,2014 kwenye Ukumbi wa Burget,Kunduchi Jijini Dar es Salaam.Mashindano hayo yatashirikisha timu kutoka Zambia,Afrika Kusini,Malawi,Lesotho,Kenya,Uganda na Wenyeji Tanzania,ambapo mshindi wa jumla ataondoka na kitita cha...

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Mchezo wa Safari Lager National Pool Championship 2014 yazinduliwa leo jijini Dar

MASHINDANO ya mchezo wa pool ya ‘Safari Lager National Pool Championship 2014’, ngazi ya mikoa yanatarajia kuanza Juni 14, mwaka huu katika mikoa 18 ya Tanzania Bara.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo huo Taifa (TAPA), Amosi Kafwinga amesema mashindano hayo ambayo kwa ngazi ya taifa yatamalizika mwezi Septemba 14, mwaka huu.
Kafwinga amesema fainali za taifa za mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania(TBL)...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI UPATIKANAJI WA FOMU ZA PROGAMU YA SAFARI LAGER WEZESHWA MSIMU IV

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo imetangaza rasmi upatikanaji wa fomu za programu yake ya Safari Lager Wezeshwa kwa msimu wa nne kwa wajasiriamali wadogo wadogo na wa kati Nchini. Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa bia ya Safari Lager Bi. Edith Bebwa alifafanuwa ya kwamba “ Fomu za ushiriki zitapatikana kwenye mabohari ya TBL, Mawakali wa kusambaza bia, kwenye mtandao wa www.wezeshwa.co.tz .
Fomu hizo zichukuliwe, zijazwe na kurejeshwa kwenye vituo...

 

11 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA VYUO VINAVYOSHIRIKI FAINALI ZA HIGHER LEARNING POOL COMPETITION 2014 JIJINI DAR

Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu(wa pili kulia) akimkabidhi t-shirt mwakilishi wa chuo cha Open University, Henry Mboga wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa vyuo vya Dar es Salaam vinavyoshiriki fainali za mkoa za Safari Higher Learning Pool Competition 2014.Makabidhiano hayo yalifanyika Coco Beach Dar es Salaam.Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager Oscar Shelukindo na Katibu wa chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga. Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar...

 

11 years ago

Michuzi

RUCCO Iringa mabingwa wa Taifa Safari Pool 2014

Na Mwandishi Wetu.Moshi
CHUO cha RUCCO cha mkoani Iringa kimefanikiwa kutwaa ubingwa wa mashindano ya mchezo wa Pool Taifa yaliyoyoshirikisha mabingwa wa Vyuo vya Elimu ya juu kutoka mkoa minane yajulikanayo kama “Safari Pool Higher Learning Competition 2014” mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Aventure Moshi -Kilimanjaro.
RUCCO ilifanikiwa kupata ubingwa huo kwa kukifunga chuo cha St. John cha Dodoma 13-12, na hivyo kuzawadiwa kikombe na fedha taslimu Shilingi 2,500,000/= Nafasi ya pili...

 

11 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI BAA 10 ZILIZOINGIA FAINALI KATIKA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA MKOA WA MBEYA KWA MWAKA 2014

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo imetangaza rasmi majina ya Bar 10 yaliyofanikiwa kuingia fainali katika  shindano la uchomaji nyama kwa mwaka 2014 lijulikanalo kama “Safari Lager Nyama Choma Competition 2014”.
Shindano hili linalofanyika kila mwaka, linafanyika mwaka huu kwa mara ya saba mfululizo na litashirikisha mikoa ya Mbeya, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro na Dar Es Salaam. Tangu lilipoanzishwa mwaka 2008, shindano hili limekuwa na mvuto wa kipekee kwa...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"

Meneja Mauzo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa ukanda wa Temeke, Patrick Swai akizungumza na waandishi wa habari (hawapi pichani)wakati akizitangaza bar tano zilizofanikiwa kuingia fainali kwenye kinyang’anyiro cha shindano la uchomaji nyama “Safari Lager Nyama Choma Competition 2015”,kwa mkoa wa Dar es salaam.

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Jaji wa programu hiyo, Joseph Migunda. Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akiwaonyesha kipeperushi kinachoonyesha kitika cha shilingi 2200,000 000/= zitakazogawiwa kwa wajasiliamali wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani