Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAFARI LAGER YAZINDUA MASHINDANO YA NYAMA CHOMA 2014 JIJINI DAR LEO

 Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (kushoto) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam wakati wa kutangaza Uzinduzi rasmi wa Mashindano ya Safari Lager Nyama Choma 2014,ambapo amesema kuwa lengo kuu la Shindano hilo ni kuongeza hamasa kwa watayarishaji na walaji wa Nyama Choma ili kwa pamoja waweze kufahamu viwango bora katika uchomaji na utayarishaji wa Nyama Choma.Kulia ni Jaji Mkuu wa Mashindano ya Nyama Choma...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Jaji wa programu hiyo, Joseph Migunda. Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akiwaonyesha kipeperushi kinachoonyesha kitika cha shilingi 2200,000 000/= zitakazogawiwa kwa wajasiliamali wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne...

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Mchezo wa Safari Lager National Pool Championship 2014 yazinduliwa leo jijini Dar

MASHINDANO ya mchezo wa pool ya ‘Safari Lager National Pool Championship 2014’, ngazi ya mikoa yanatarajia kuanza Juni 14, mwaka huu katika mikoa 18 ya Tanzania Bara.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo huo Taifa (TAPA), Amosi Kafwinga amesema mashindano hayo ambayo kwa ngazi ya taifa yatamalizika mwezi Septemba 14, mwaka huu.
Kafwinga amesema fainali za taifa za mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania(TBL)...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"

Meneja Mauzo Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa ukanda wa Temeke, Patrick Swai akizungumza na waandishi wa habari (hawapi pichani)wakati akizitangaza bar tano zilizofanikiwa kuingia fainali kwenye kinyang’anyiro cha shindano la uchomaji nyama “Safari Lager Nyama Choma Competition 2015”,kwa mkoa wa Dar es salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mikoa mitano kuchuana Safari Lager Nyama Choma

SHINDANO la Safari Lager Nyama Choma 2014 limezinduliwa jijini Dar es Salaam jana huku likitarajiwa kushirikisha baa mbalimbali katika mikoa mitano. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Meneja wa Bia ya...

 

11 years ago

Michuzi

New City Pub ndio Mabingwa wa Safari Nyama Choma 2014 jijini Mbeya

Kaimu Mkurugenzi wa jiji la Mbeya, Dk.Samweli Lazaro (katikati) na jaji Mkuu wa mashindano ya Safari Nyama Choma, Lawrence Salvi (kulia) wakimkabidhi zawadi ya Kombe na fedha taslimu Shilingi milioni moja(1,000 000) mpishi Mkuu wa New City Pub, Geofrey Mwashilindi mara bada ya kuibuka mabingwa wa mashindano ya Safari Nyama Choma 2014 yaliyojanyika katika Viwanja vya CCM Ilomba Mkoani Mbeya mwishoni mwa wiki .Wapili kulia ni Meneja wa bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo na Meneja wa Tawi...

 

10 years ago

Michuzi

Soccer City Mabingwa Safari Nyama Choma 2015 jijini Dar

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Edith Bebwa(kushoto) na Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Gerald Ngiichi wakimkabidhi kikombe mchoma nyama mkuu wa Bar Soccer City ya Sinza, Said Dando mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya Safari Lager Nyama Choma jijini Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders mwishoni mwa wiki.Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Gerald Ngiichi(wa pili kushoto) wakimkabidhi kitita cha Shilingi 1,000 ,000/= mchoma nyama mkuu wa ...

 

10 years ago

Vijimambo

SAFARI LAGER NYAMA CHOMA YAFIKA KILELE MBEYA, TUMAIN BAR& LODGE WAIBUKA KIDEDEA

Mgeni rasmi katika mashindano ya safari lager nyama choma, Katibu tawala wa Wilaya ya Mbeya, Quip Mbeyela, akizungumza na wakazi wa Jiji la Mbeya kabla ya kukabidhi zawadi kwa washindi.Meneja wa Bia ya Safari lager Edith Bebwa, akitoa neno la utangulizi kabla ya kuanza kukabidhi zawadi katika fainali ya nyama choma.Mgeni rasmi akiwa meza kuu pamoja na uongozi wa TBL.Jaji Mkuu akitaja majina ya washindiMgeni rasmi pamoja na watumishi wa TBL wakijiandaa kuanza kutoa zawadi.Mwakilishi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Wachoma Nyama jijini Mwanza wapigwa msasa na Safari Lager

KAMPUNI ya Bia Tanzania(TBL) kupitia kinywaji chake cha Safari Lager jana imetoa mafunzo kwa wachoma nyama kutoka Baa mbali mbali za Mkoa wa Mwanza ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma kwa mwaka 2014 yatakayo fanyika katika viwanja vya Furahisha.
Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja matukio wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kanda ya Ziwa, Erick Mwayela, alisema lengo la kutoa mafunzo ni kutoa elimu kwa wachoma nyama ukizingatia uchomaji nyama ni moja sehemu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani