Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTUMISHI YAPOKEA VITENDEA KAZI TOKA UNDP KUBORESHA UTENDAJI

James Mwanamyoto - Dodoma
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, katika kuboresha utendaji kazi na utoaji wa huduma bora kwa wananchi, imepokea vitendea kazi vya kielektroniki toka Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Umoja wa Mataifa (UNDP).

Vitendea kazi vilivyopokelewa ni Kompyuta saba (7), “printer” 10 na kompyuta mpakato tatu (3) vyenye thamani ya shilingi 45,919,500/=.

Akipokea vitenda kazi hivyo leo toka kwa Bw. James Bwana, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Serikali imefanikiwa kuboresha utendaji kazi wa utumishi wa umma kwa kuendesha mikutano kupitia njia ya video (TEHAMA)

IMG_4283

Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu wa kwanza kushoto mstari wa mbele akiongoza kikao kazi  kupitia njia ya video kwa makatibu tawala wa mikoa na wasaidizi wao, wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na wakuu wa idara za utawala na rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa  kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Tanga,Tabora,Manyara, Morogoro, Rukwa na Katavi kilichofanyika jana kwenye ukumbi wa Wakala wa Mafunzo kwa Mtandao iliyopo...

 

11 years ago

Michuzi

OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi akifungua mkutano wa wadau kuhusu Mikataba ya Utendaji Kazi katika Taasisi za Umma katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Mkutano huo uliandaliwa mahsusi ili wadau waweze kufahamu mambo muhimu juu ya Mfumo wa Mikataba ya Utendaji Kazi hususan chimbuko, maana na faida zake, mambo ya msingi yatakayofanikisha utekelezaji wa mfumo huo, fomu ya mkataba wa utendaji kazi na vipengele vyake, vigezo vya upimaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Muhas yaboresha vitendea kazi

JUMUIYA ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), kimeboresha hali ya vitendea kazi katika sehemu ambazo ni hatarishi zaidi ili kulinda watendaji wake dhidi ya maambukizi ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Zimamoto Mwanza walilia vitendea kazi


NA PRISCA MSHUMBUSI, MWANZA
JESHI la Zimamoto na Uokoaji jijini hapa linakabiliwa na uhaba wa vifaa vya uokoaji wakati wa mafuriko, suala linalosababisha kupata wakati mgumu kipindi mafuriko.
Akizungumza na gazeti hili, ofisini kwake, jana, Kamanda wa kikosi hicho mkoa humo, Andrew Mbate, alisema wanapata tabu wakati wa uokoaji pindi mafuriko yanapotokea.
Mbate alisema jeshi hilo halina vifaa vya kutumia katika uokozi wakati wa mafuriko suala linalosababisha walazimike kutumia vifaa bandia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mfuko wa Wakfu watoa vitendea kazi

MFUKO wa Wakfu wa Kuendeleza Zao la Korosho nchini (CIDTF), kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), wamekabidhi vitendea kazi kwa Wakurugenzi wa Halmashauri saba kwa ajili ya maofisa...

 

10 years ago

Mwananchi

Bandari ya Tanga yalalamikia vitendea kazi

Bandari ya Tanga inadaiwa kukabiliwa na changamoto ya utendaji hafifu wa Shirika la Reli na kuchangia kwa kiwango kikubwa kuhamishwa kwa shehena nyingi iliyokuwa ikipitia katika bandari hiyo, hasa iliyokuwa ikienda na kutoka Kanda ya Ziwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zimamoto walia na ukosefu wa vitendea kazi

KIKOSI cha zima moto na uokoaji mkoani Pwani kimesema kinashindwa kukabiliana na majanga ya moto kwa wakati kutokana na ukosefu wa vitendea kazi yakiwemo (magari). Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Habarileo

CCM waomba polisi kupewa vitendea kazi

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watendaji wa Serikali wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameishauri na kuiomba Serikali kuboresha na kuongeza vitendea kazi ikiwemo magari ya Polisi kwa ajili ya kufanyia doria ili kudhibiti magendo ya rasilimali za nchi zinazovushwa na baadhi ya Watanzania wasiokuwa wazalendo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani