DIAMOND: MITANDAO YA KIJAMII IMESAIDIA KAZI ZANGU KUWAFIKIA MASHABIKI DUNIA NZIMA
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz mwenye ‘followers’ 489,881, kwenye twitter watu laki 131, na Instagram watu 291,643, You Tube ‘subcribers’ 76,134.
Hii inamaanisha Diamond ni msanii na Mtanzania wa kwanza mwenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii maarufu.
Pia Diamond amefunguka jinsi mitandao ya kijamii inavyomsaidia katika kuuutangaza muziki wake na lebo yake kwa kumsogeza karibu zaidi na jamii ya watu wanaotumia mitandao hiyo dunia nzima.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAFUNZO YA SIKU TATU YA MATUMIZI YA MITANDAO YA KIJAMII (SOCIAL MEDIA) YAFUNGWA NA KAMISHNA WA KAZI NA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR.
10 years ago
Habarileo05 Apr
Mitandao ya kijamii wapewa somo
WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbacWFkPr9ttXZ*aECzWP6NkAAqqm0luWat2lchL6HRF26WK16ziSw9HIMQKmLmI278fNVkWOaMFpgYvzUIG80HgA/NEW.jpg?width=650)
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
‘Mitandao ya kijamii itumike kwa maendeleo’
WATANZANIA wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kupata taarifa mbalimbali na kuzitumia katika maendeleo.
Mjumbe wa Bodi ya Utendaji ya Kituo cha Ushirikiano wa Kilimo na Maendeleo Vijijini cha nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Karibiani na Pasifiki (CTA), Profesa Faustin Kamuzora, amesema taarifa hizo zina mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta za kilimo, usindikaji, biashara na ukuzaji wa masoko katika ukanda wa Afrika Mashariki na duniani kwa jumla.
Akifungua mafunzo ya...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-nVd6D5O3TK4/VFpxCgJnpQI/AAAAAAAGvqE/ulDVmljibuc/s1600/1415213231614_Screenshots.png)