Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchi inataka mabadiliko makubwa sasa!

RAIS wangu, sauti zinasikia kutoka kila kona ya nchi yetu, wananchi wanataka Tanzania waitakayo! Ni Tanzania ipi hiyo? Tuliyomo siyo Tanzania waitakayo. Wanadai mabadiliko sisi tungali uongozini. Je, tumewakinai na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA INATAKA MABADILIKO UCHAGUZI 2015

Wananchi wakiwa wamefurika katika kituo cha kupiga kura cha Shule ya Mtoni, wilaya ya Mjini mwaka 2010.Ilikuwa asiye na mwana abebe jiwe, kama Zainabu Ngwadani mkazi wa Mtoni Kidalu, wilaya ya Magharibi, akipiga kura huku akiwa na mtoto wake mwenye umri wa miezi mitano, katika kituo cha shule ya Mtoni mwaka 2010 Picha zote na The Nkoromo Blog.

Na Emmanuel Muganda, Washington, DCTanzania itafanya uchaguzi mkuu wa rais na bunge mwaka ujao 2015. Huu utakuwa uchaguzi wenye changamoto kubwa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

10 years ago

Dewji Blog

Nchi wahisani watoa dola za Marekani milioni 802.15 kukabili mabadiliko ya tabia nchi

IMG_1116

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akimkaribisha ofisini kwake Mwakilishi wa mtandao wa FANPRAN, Sithembile Ndema kwa ajili ya kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

JUMLA ya dola za Marekani milioni 802.15 zimetolewa na nchi wahisani katika kusaidia mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi katika kipindi cha miaka miaka mine iliyopita.

Hayo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mabadiliko makubwa

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litafanyia mabadiliko makubwa sheria za utumishi wa umma

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Michuzi

ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru

 Kushoto Waziri mh. Fatma  Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Kulia Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais mazingira mh.dkt Binilith Mahenge wakifuatilia hotuba ya katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Bw Ban ki Moon hayupo pichani katika ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi ulihusisha viongozi wa juu marais na mawaziri..(High level segment) mjini Lima, Peru. Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Loga mabadiliko makubwa Simba

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic ‘Loga,’ juzi usiku alifanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, ikiwemo kuwaondoa kabisa kwenye kikosi cha kwanza, kipa namba moja Ivo...

 

9 years ago

Habarileo

Kilimani yafanya mabadiliko makubwa

KLABU ya soka ya Kilimani City imefanya mabadiliko katika maeneo matatu ya timu hiyo ikiwa na lengo la kuweka maboresho.

 

10 years ago

Habarileo

Mabadiliko makubwa sekta ya uchukuzi

Meneja wa Mradi mpya wa Mfumo wa Kielektroniki wa Kuboresha Utoaji wa Mizigo Bandarini, Phares MagesaMOJA ya sekta ambazo Serikali ya Awamu ya Nne inatarajiwa kujivunia nayo, ni mabadiliko katika sekta ya uchukuzi, ambayo ina mchango mkubwa katika uchumi wa nchi.

 

11 years ago

Habarileo

Mabadiliko makubwa sekta ya maji

KUANZIA Juni mwaka huu hadi mwishoni mwa mwaka 2015 serikali imedhamiria kufanya mabadiliko makubwa ya kupeleka maji katika maeneo mengi vijijini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani