Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabadiliko makubwa sekta ya uchukuzi

Meneja wa Mradi mpya wa Mfumo wa Kielektroniki wa Kuboresha Utoaji wa Mizigo Bandarini, Phares MagesaMOJA ya sekta ambazo Serikali ya Awamu ya Nne inatarajiwa kujivunia nayo, ni mabadiliko katika sekta ya uchukuzi, ambayo ina mchango mkubwa katika uchumi wa nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mabadiliko makubwa sekta ya maji

KUANZIA Juni mwaka huu hadi mwishoni mwa mwaka 2015 serikali imedhamiria kufanya mabadiliko makubwa ya kupeleka maji katika maeneo mengi vijijini.

 

10 years ago

Mtanzania

Marais wa EAC kujadili sekta ya uchukuzi

Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam

MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza watakutana nchini kujadili jinsi ya kushirikiana kwa pamoja katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji katika ukanda wa kati (Central Corridor).
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema marais hao watakutana Machi 23, mwaka huu na nchi zitakazoshiriki ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
“Leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya

Sekta ya uchukuzi ni moja ya mishipa muhimu mikubwa ya damu kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu lakini imekatwa kiasi kwamba haifanyika kazi inayotakiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yakaribisha wawekezaji binafsi kwenye sekta ya uchukuzi

1

Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akiwasilisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni mjini Dodoma jana.

2

Mbunge wa Kisarawe (CCM) Bw. Suleiman Jafo akichangia mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi jana bungeni mjini Dodoma.

3

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwezeshaji Bi. Mary Nagu akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Bw. Lazaro Nyalandu kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. (PICHA ZOTE NA FATMA SALUM – MAELEZO).

Na Fatma Salum – Maelezo

Serikali kupitia...

 

11 years ago

GPL

TIB NA DBSA ZAINGIA MKATABA KUKOMBOA SEKTA YA UCHUKUZI NCHINI

 Mkurugenzi wa Mipango Mikakati wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB Development Bank), Jaffar Machano akifungua mkutano huo wa hafla ya utiaji saini mkataba wa makubaliano.  Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB Development Bank), Peter Noni akizungumza na wadau wakati wa hafla hiyo.…

 

9 years ago

Raia Mwema

Mabadiliko makubwa

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litafanyia mabadiliko makubwa sheria za utumishi wa umma

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBEA MAKASHA CHINI YA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)

Moja kati ya mabehewa 50 ya kubebea makasha likishushwa katika Bandari ya Dar es Salaam, leo asubuhi. Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), leo limepokea mabehewa 50 ya kubebea makasha ambapo mradi huu unatekelezwa chini ya Mpango wa Matokeo makubwa sasa(BRN). Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk . Shaaban Mwinjaka(mwenye tai ya blue), akiangalia behewa moja kati ya mabehewa 50 ya kubebea makasha yalishuhushuwa katika bandari ya Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa...

 

5 years ago

Michuzi

MENEJIMENTI SEKTA YA UCHUKUZI YARIDHISHWA NA UJENZI MELI MPYA, CHELEZO NA UKARABATI WA MV. VIKTORIA NA MV. BUTIAMA


Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya chini ya meli Mpya ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika bandari ya Mwanza Kusini, jijini Mwanza. Ujenzi wa Meli hiyo unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itagharamu zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 80.Mafundi wa Kampuni ya GAS EntecCo Ltd, Kang Nam Cooperation ya Korea Kusini pamoja na SUMA JKT ya Tanzania inayojenga meli ya MV Mwanza, wakiendelea na kazi ya ujenzi wa meli hiyo, inayojengwa jijini MwanzaKaimu Mhandisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Loga mabadiliko makubwa Simba

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic ‘Loga,’ juzi usiku alifanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, ikiwemo kuwaondoa kabisa kwenye kikosi cha kwanza, kipa namba moja Ivo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani