Mabadiliko makubwa sekta ya uchukuzi
MOJA ya sekta ambazo Serikali ya Awamu ya Nne inatarajiwa kujivunia nayo, ni mabadiliko katika sekta ya uchukuzi, ambayo ina mchango mkubwa katika uchumi wa nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Apr
Mabadiliko makubwa sekta ya maji
KUANZIA Juni mwaka huu hadi mwishoni mwa mwaka 2015 serikali imedhamiria kufanya mabadiliko makubwa ya kupeleka maji katika maeneo mengi vijijini.
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Marais wa EAC kujadili sekta ya uchukuzi
Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam
MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza watakutana nchini kujadili jinsi ya kushirikiana kwa pamoja katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji katika ukanda wa kati (Central Corridor).
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema marais hao watakutana Machi 23, mwaka huu na nchi zitakazoshiriki ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
“Leo...
11 years ago
Mwananchi27 May
Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya
10 years ago
Dewji Blog31 May
Serikali yakaribisha wawekezaji binafsi kwenye sekta ya uchukuzi
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akiwasilisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Bw. Suleiman Jafo akichangia mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi jana bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwezeshaji Bi. Mary Nagu akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Bw. Lazaro Nyalandu kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. (PICHA ZOTE NA FATMA SALUM – MAELEZO).
Na Fatma Salum – Maelezo
Serikali kupitia...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6Td7UUZtXvA/Uvxl4400qHI/AAAAAAAARRc/lOu_jtJlIfo/s1600/001.jpg)
TIB NA DBSA ZAINGIA MKATABA KUKOMBOA SEKTA YA UCHUKUZI NCHINI
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Mabadiliko makubwa
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litafanyia mabadiliko makubwa sheria za utumishi wa umma
Waandishi Wetu
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBEA MAKASHA CHINI YA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-1-9.jpg)
MENEJIMENTI SEKTA YA UCHUKUZI YARIDHISHWA NA UJENZI MELI MPYA, CHELEZO NA UKARABATI WA MV. VIKTORIA NA MV. BUTIAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s640/1-1-9.jpg)
Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya chini ya meli Mpya ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika bandari ya Mwanza Kusini, jijini Mwanza. Ujenzi wa Meli hiyo unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itagharamu zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 80.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-32.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-33.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Loga mabadiliko makubwa Simba
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic ‘Loga,’ juzi usiku alifanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, ikiwemo kuwaondoa kabisa kwenye kikosi cha kwanza, kipa namba moja Ivo...