TIB NA DBSA ZAINGIA MKATABA KUKOMBOA SEKTA YA UCHUKUZI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6Td7UUZtXvA/Uvxl4400qHI/AAAAAAAARRc/lOu_jtJlIfo/s1600/001.jpg)
 Mkurugenzi wa Mipango Mikakati wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB Development Bank), Jaffar Machano akifungua mkutano huo wa hafla ya utiaji saini mkataba wa makubaliano.  Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB Development Bank), Peter Noni akizungumza na wadau wakati wa hafla hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 May
Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya
10 years ago
MichuziWizara ya uchukuzi yasaini mkataba na kutekeleza amradi wa treni za kisasa nchini
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
TIB yasaini mkataba wa usimamizi na Serikali
9 years ago
MichuziBENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zga5oOZcG3Y/VM6VQH7cr0I/AAAAAAAHAww/ujN35Qi7U8Q/s72-c/unnamed.jpg)
TIB NA TAMISEMI WATILIANA SAINI MKATABA WA USHIRIKIANO
Makubaliano hayo yaliyotiwa saini na Mh. Jumanne Sagini, Katibu Mkuu TAMISEMI na Bw. Peter Noni, Mkurugenzi Mtendaji, TIB Development Bank yanaimarisha msingi wa taasisi hizi mbili wa uboreshwaji mifumo na utoaji wa huduma bora kwa jamii...
9 years ago
StarTV23 Oct
Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.
Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .
TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...
10 years ago
Michuzi01 Jul
TIB officially transformed to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited
TIB Development Bank Managing Director, Peter Noni told the press yesterday at the 39th Dar es Salaam International Trade Fair that the licenses have been issued by BoT in June 2015 for the Development and Corporate bank to engage in development financing and commercial banking activities respectively. He said TIB...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXUpr0xbs1zQJocZWqsCgMoYdz1-8ocZzTFy-8ExeCc7tCMlJofQFTobe4ebJzkQz80jgrVH9iKA0OUCMxX5gSaD/TRL1.jpg?width=650)
TRL YASAINI MKATABA NA BENKI YA MAENDELEO YA TIB KWA AJILI YA UENDESHAJI WA KAMPUNI HIYO