Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya
Sekta ya uchukuzi ni moja ya mishipa muhimu mikubwa ya damu kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu lakini imekatwa kiasi kwamba haifanyika kazi inayotakiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV09 Nov
Wachimbaji wadogo  Bukoba wataka Shria ya madini iangaliwe upya
Wachimbaji wadogo katika machimbo ya Nyanga wilayani Bukoba, wameilalamikia sheria namba kumi na nne ya Madini ya mwaka 2010 kuwa inawanyima fursa katika shughuli za uchimbaji na usafirishaji wa madini ujenzi na hivyo kusababisha gharama kubwa za ujenzi kwa watu wa kada ya kati na chini.
Licha ya kulaumu baadhi ya vipengele vilivyomo katika sheria hiyo, wamesema inawakandamiza na hivyo kusababisha mgongano baina yao na watumishi wa idara ya madini mkoani humo .
Pamoja na wachimbaji hawa...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6Td7UUZtXvA/Uvxl4400qHI/AAAAAAAARRc/lOu_jtJlIfo/s1600/001.jpg)
TIB NA DBSA ZAINGIA MKATABA KUKOMBOA SEKTA YA UCHUKUZI NCHINI
10 years ago
Habarileo28 Dec
Mabadiliko makubwa sekta ya uchukuzi
MOJA ya sekta ambazo Serikali ya Awamu ya Nne inatarajiwa kujivunia nayo, ni mabadiliko katika sekta ya uchukuzi, ambayo ina mchango mkubwa katika uchumi wa nchi.
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Marais wa EAC kujadili sekta ya uchukuzi
Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam
MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza watakutana nchini kujadili jinsi ya kushirikiana kwa pamoja katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji katika ukanda wa kati (Central Corridor).
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema marais hao watakutana Machi 23, mwaka huu na nchi zitakazoshiriki ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
“Leo...
10 years ago
Dewji Blog31 May
Serikali yakaribisha wawekezaji binafsi kwenye sekta ya uchukuzi
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akiwasilisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Bw. Suleiman Jafo akichangia mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi jana bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwezeshaji Bi. Mary Nagu akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Bw. Lazaro Nyalandu kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. (PICHA ZOTE NA FATMA SALUM – MAELEZO).
Na Fatma Salum – Maelezo
Serikali kupitia...
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Sekta ya elimu ijengwe upya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-1-9.jpg)
MENEJIMENTI SEKTA YA UCHUKUZI YARIDHISHWA NA UJENZI MELI MPYA, CHELEZO NA UKARABATI WA MV. VIKTORIA NA MV. BUTIAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-U2Z9H3yTpqk/XvNQGaLwI8I/AAAAAAALvQ4/xTB_dw3iiGsZsFJA25NSn2WAyDoYjABhgCLcBGAsYHQ/s640/1-1-9.jpg)
Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya chini ya meli Mpya ya MV Mwanza “Hapa Kazi Tu” inayojengwa katika bandari ya Mwanza Kusini, jijini Mwanza. Ujenzi wa Meli hiyo unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021 na itagharamu zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 80.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-32.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-33.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
WADAU WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA WAKUTANA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO NCHINI
![](https://4.bp.blogspot.com/-ay8G_yplW7M/VGSHZhCggfI/AAAAAAAGw5k/5rZ7lAeR95A/s640/unnamed%2B(98).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-j5fMPNzgTq8/VGSHaPy9KvI/AAAAAAAGw5o/r5C03qkBImA/s640/unnamed%2B(99).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-cWGRtxNKf8U/VGSHcHY5H1I/AAAAAAAGw50/sNkGF-GyM1E/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uw82coEJSAE/U4OzmgBmeMI/AAAAAAAFlSM/RwxFjA6p4LI/s72-c/unnamed+(73).jpg)
Kinamama wang'ara Sekta ya Uchukuz bungenii. Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uw82coEJSAE/U4OzmgBmeMI/AAAAAAAFlSM/RwxFjA6p4LI/s1600/unnamed+(73).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E1O-U8ArIXU/U4OzmyzNY2I/AAAAAAAFlSU/HF5bEIDWADs/s1600/unnamed+(75).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D1veCO9lbd0/U4OznxCQcDI/AAAAAAAFlSY/AH0aMVXfzSo/s1600/unnamed+(77).jpg)