Marais wa EAC kujadili sekta ya uchukuzi
Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam
MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza watakutana nchini kujadili jinsi ya kushirikiana kwa pamoja katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji katika ukanda wa kati (Central Corridor).
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema marais hao watakutana Machi 23, mwaka huu na nchi zitakazoshiriki ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
“Leo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
WADAU WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA WAKUTANA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO NCHINI
![](https://4.bp.blogspot.com/-ay8G_yplW7M/VGSHZhCggfI/AAAAAAAGw5k/5rZ7lAeR95A/s640/unnamed%2B(98).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-j5fMPNzgTq8/VGSHaPy9KvI/AAAAAAAGw5o/r5C03qkBImA/s640/unnamed%2B(99).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-cWGRtxNKf8U/VGSHcHY5H1I/AAAAAAAGw50/sNkGF-GyM1E/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Habarileo02 Sep
Marais 15 Afrika kujadili ugaidi
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuungana na marais wengine 14 wa Afrika, kujadili mbinu za kupambana na ugaidi na matukio mengine kuhifadhi raia wa Nepal yanayotishia hali ya usalama barani Afrika.
10 years ago
Habarileo21 Nov
Marais kujadili Shirikisho la Afrika Mashariki
MKUTANO wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), utafanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Nairobi, Kenya ambapo pamoja na mambo mengine utajadili hatua iliyofikiwa ya uanzishwaji wa Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Dec
Mabadiliko makubwa sekta ya uchukuzi
MOJA ya sekta ambazo Serikali ya Awamu ya Nne inatarajiwa kujivunia nayo, ni mabadiliko katika sekta ya uchukuzi, ambayo ina mchango mkubwa katika uchumi wa nchi.
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Marais sita kujadili changamoto Ukanda wa Kati
11 years ago
Mwananchi27 May
Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya
10 years ago
Dewji Blog31 May
Serikali yakaribisha wawekezaji binafsi kwenye sekta ya uchukuzi
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akiwasilisha bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni mjini Dodoma jana.
Mbunge wa Kisarawe (CCM) Bw. Suleiman Jafo akichangia mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi jana bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwezeshaji Bi. Mary Nagu akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Bw. Lazaro Nyalandu kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. (PICHA ZOTE NA FATMA SALUM – MAELEZO).
Na Fatma Salum – Maelezo
Serikali kupitia...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6Td7UUZtXvA/Uvxl4400qHI/AAAAAAAARRc/lOu_jtJlIfo/s1600/001.jpg)
TIB NA DBSA ZAINGIA MKATABA KUKOMBOA SEKTA YA UCHUKUZI NCHINI