Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marais sita kujadili changamoto Ukanda wa Kati

Marais wa nchi sita za Afrika kesho watakuwa na mkutano mkubwa jijini hapa, juu ya uwekezaji na uboreshaji katika ukanda wa kati huku wakitarajiwa kujadili changamoto za kadhaa za kiuwekezaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MARAIS WAWASILI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI WA UKANDA WA KATI WA UWEKEZAJI NA VIWANDA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akimpokea Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais Museveni yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Ukanda wa Kati kuhusu Uwekezaji na Viwanda unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuanzia tarehe 25 hadi 26 Machi, 2015. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

 

11 years ago

Habarileo

Marais 15 Afrika kujadili ugaidi

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuungana na marais wengine 14 wa Afrika, kujadili mbinu za kupambana na ugaidi na matukio mengine kuhifadhi raia wa Nepal yanayotishia hali ya usalama barani Afrika.

 

10 years ago

Habarileo

Marais kujadili Shirikisho la Afrika Mashariki

MKUTANO wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), utafanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Nairobi, Kenya ambapo pamoja na mambo mengine utajadili hatua iliyofikiwa ya uanzishwaji wa Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Mtanzania

Marais wa EAC kujadili sekta ya uchukuzi

Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam

MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza watakutana nchini kujadili jinsi ya kushirikiana kwa pamoja katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji katika ukanda wa kati (Central Corridor).
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema marais hao watakutana Machi 23, mwaka huu na nchi zitakazoshiriki ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
“Leo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukanda wa Kati wapania kukuza uchumi

Nchi za Afrika Mashariki na Kati zimetakiwa kuondokana na vitendo vinavyochelewesha ustawi wa mataifa hayo kiuchumi

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wanaounda Ukanda wa Kati wamwagiwa sifa

WAKUU wa Nchi za Afrika Mashariki wanaounda Ukanda wa Kati wamepongezwa kwa kujitoa na kuwezesha kutekelezwa kwa miradi ya miundombinu itakayochangia maendeleo ya uchumi na kuinua maisha ya wananchi katika nchi za ukanda huo.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK ahudhuria mkutano wa kujadili miradi iliyoko katika Ukanda wa Kaskazini jijini Kigali, Rwanda

Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kwa furaha  sahada la maua baada ya kuwasili Kigali, Rwanda, tayari kwa mkutano  na viongozi wenzake wa Jumiya hiyo katika mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi hizo kujadili miradi iliyoko katika Ukanda wa Kaskazini (Northern Corridor Integration Projects)  katika Hoteli ya Serena mjini Kigali.

Mkutano wa leo ​pia umehudhuriwa na wakuu wa nchi za Kenya, Uganda na wenyeji Rwanda. Mbali na nchi hizo na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete afungua Mkutano wa Wadau wa Ukanda wa Kati

pix 2

Rais  wa Jamuhuri ya Muungano  wa Tanzania, Jakaya Kikwete  akiongea na wajumbe wa mkutano wa Mradi wa ukanda wa kati wa Uchukuzi  wakati wa ufunguzi wa Mkutano  huo  leo jijini Dar es Salaam,Mradi huo utahusiha nchi za Afrika Mashariki katika ujenzi wa reli.

pix 1

Mkurugenzi Mkuu wa Jukwaa la Uchumi wa Nchi za Afrika,Elsie Kanza akisoma risala ya kumkaribisha Mgeni rasmi Mhe.Rais Jakaya Kikwete katika ufunguzi wa Mkutano wa siku moja wa Mradi wa Ukanda wa kati wa Uchukuzi leo jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Marais wawili wa Zambia wafariki ndani ya miaka sita

Rais wa Zambia, Michael Sata amefariki dunia nchini Uingereza, tukio ambalo limeweka rekodi nchini humo kwa marais wawili kufariki dunia wakati wakiwa madarakani huku Mzungu ambaye ni Makamu wa Rais, Dk Guy Scott akitangazwa kuwa kaimu rais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani