Marais wawili wa Zambia wafariki ndani ya miaka sita
Rais wa Zambia, Michael Sata amefariki dunia nchini Uingereza, tukio ambalo limeweka rekodi nchini humo kwa marais wawili kufariki dunia wakati wakiwa madarakani huku Mzungu ambaye ni Makamu wa Rais, Dk Guy Scott akitangazwa kuwa kaimu rais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Marais sita kujadili changamoto Ukanda wa Kati
Marais wa nchi sita za Afrika kesho watakuwa na mkutano mkubwa jijini hapa, juu ya uwekezaji na uboreshaji katika ukanda wa kati huku wakitarajiwa kujadili changamoto za kadhaa za kiuwekezaji.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Sita wafariki ajalini Mbeya
Watu Sita wamekufa na wengine 21 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria la kampuni ya Ndejela Express, lililokuwa linatoka Sumbawanga kwenda Mbeya, kupinduka.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Wanahabari wawili wafariki dunia
Tasnia ya habari imepata simanzi baada ya waandishi wawili wa habari, Innocent Munyuku na Baraka Karashani kufariki dunia jana jijini Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
CAF:Wachezaji wawili wafariki
Rais wa soka barani Afrika Caf Issa Hayatou ametuma risala za rambirambi kwa familia za wachezaji wawili wa soka waliofariki.
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sita wafariki ajali ya basi Mkuranga
Watu sita wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ibra Line walilokua wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi lingine dogo katika barabara kuu ya Dar salaam - Kilwa.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Sita wafariki ajalini, 12 wajeruhiwa Dar
Watu sita wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali iliyohusisha magari matatu, eneo la Lugalo, jijini Dar es Salaam jana.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/ajali-mbeya-1.jpg)
WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI IRINGA
Gari aina ya Toyota Harrier likitolewa eneo la ajali. Wananchi wakishuhudia gari hilo wakati likiondolewa eneo la ajali. Wanausalama wakiwa eneo la ajali. Toyota Harrier…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sita wafariki dunia ajali ya basi Mkuranga
Watu sita wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ibra Line walilokua wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi lingine dogo katika barabara kuu ya Dar salaam - Kilwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania