CAF:Wachezaji wawili wafariki
Rais wa soka barani Afrika Caf Issa Hayatou ametuma risala za rambirambi kwa familia za wachezaji wawili wa soka waliofariki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Wanahabari wawili wafariki dunia
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/ajali-mbeya-1.jpg)
WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI IRINGA
10 years ago
Mwananchi17 Apr
19 wafariki ajalini mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya
9 years ago
StarTV03 Nov
Watu wawili wafariki dunia kwa mafuriko
Watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha na wengine kupoteza mali zenye thamani jijini Mwanza kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua iliyonyesha majira ya saa kumi na mbili alfajiri ya leo.
Waliopoteza maisha ni pamoja na aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha nne aliyekuwa akiwahi shule kwa ajili ya kufanya mtihani wake wa mwisho na mmoja wa waendesha pikipiki aliyekuwa akiwawahisha wanafunzi wengine wa kidato cha nne kufanya mtihani wao wa mwisho.
Majira ya saa tatu asubuhi jijini Mwanza...
9 years ago
StarTV19 Nov
Watoto wawili wafariki baada ya kuangukiwa na nyumba
Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia mkoani Singida baada ya kuangukiwa na nyumba ya udongo maarufu kama tembe walimokuwa wamelala wakati mvua kubwa ikiendelea kunyesha.
Tukio hilo la maafa limetokea majira ya saa saba usiku wa kuamkia leo Jumatano katika Kijiji cha Mningaa/Mkwese Wilaya ya Manyoni mkoani humo na kusababisha vifo vya watoto hao wa kiume wenye umri wa miaka 4 na 12 waliokuwa wamelala peke yao kwenye nyumba hiyo ya tembe.
Simuzi ya kusikitisha kutoka kwa familia...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Marais wawili wa Zambia wafariki ndani ya miaka sita
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qk*MmDQsK7pf2AeHwPjAF2REkF6HY-kBkfN5MY85f9E9yquPDoKmdoBU244VY8KHRHBzjM0MrCpATv6ccR*srBRp34qmr-nR/1428826223737.jpg?width=650)
WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA LORI RUAHA