Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wawili wafariki baada ya kuangukiwa na nyumba

Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia mkoani Singida baada ya kuangukiwa na nyumba ya udongo maarufu kama tembe walimokuwa wamelala wakati mvua kubwa ikiendelea kunyesha.

Tukio hilo la maafa limetokea majira ya saa saba usiku wa kuamkia leo Jumatano katika Kijiji cha Mningaa/Mkwese Wilaya ya Manyoni mkoani humo na kusababisha vifo vya watoto hao wa kiume wenye umri wa miaka 4 na 12 waliokuwa wamelala peke yao kwenye nyumba hiyo ya tembe.

Simuzi ya kusikitisha kutoka kwa familia...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Watoto wawili wafariki Dihombo Mvomero baada ya Nyumba kuteketea Kwa Moto

Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya nyumba walimokuwa wakiishi kuteketea kwa moto katika kijiji cha Dihombo wilayani Mvomero mkoani Morogoro.

Tukio hilo limetokea  usiku wa kuamkia jana wakati watoto hao watatu wakiwa wamelala peke yao, mama yao mzazi akiwa ameenda kanisani.

Mmoja wa watoto hao aliwasha kibatari kwa lengo la kwenda kujisaidia lakini kwa bahati mbaya kibatari hicho kililipuka na moto kuanza kusambaa nyumba nzima.

Watoto waliofariki...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uganda: Watoto wafariki baada kula vitafunwa vilivyopikwa kwa dawa ya kuua wadudu

Watoto wawili wamekufa huku wengine 11 wakipata matibabu baada ya kula kitafunwa mfano wa hamri lenye sumu

 

9 years ago

StarTV

Kijana mmoja afariki baada ya kuangukiwa na jiwe

Kijana mmoja anayejulikana kwa jina la  Johnson Muchunguzi amefariki dunia baada ya kuangukiwa na miamba ya mawe alipokuwa katika shughuli za uchimbaji wa mchanga kwenye eneo la machimbo  yasiyo rasmi ya Rwome yaliyopo katika kata ya Kashai Manispaa ya Bukoba,.

Baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kijana huyo pamoja na wenzake walikutwa na dhaama hiyo majira ya asubuhi baada ya jiwe kubwa kuanguka na kumfukia wakati akiwa katika shimo alilokuwa akichimbia mchanga.

Vikosi vya...

 

10 years ago

GPL

BASI LAUA BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA IRINGA

ABIRIA zaidi ya 40 wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Majinja ambalo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam kufunikwa na kontena maeneo ya Mafinga mkoani Iringa muda huu. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba dereva wa basi alikuwa akijaribu kulipita lori ndipo walipondokewa na…

 

11 years ago

Michuzi

RIDHIWANI KIKWETE AHANI MSIBA WA WATOTO WAWILI WALIOPOTEZA MAISHA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA CHA MAJI,KIWANGWA

 Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete (kushoto) akiwa na Bw. Geofrey Nestory pamoja na Mkewe,Renata Pascal ambao ni Wazazi wa Watoto wawili,Jesca Geofrey (5) na Redempta Geofrey (2) waliopoteza maisha hivi karibuni kwa kutumbukia kwenye kisima cha maji,wakati alipofika Nyumbani kwa wazazi hao ambao ni Wakazi wa Kijiji cha Msinune,Kata ya Kiwangwa leo Machi 22,2014 kuhani msiba wa Watoto hao.Wazazi hao walimueleza Ndg....

 

10 years ago

Vijimambo

BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA IRINGA

Mmoja ya majeruhi akiokolewa na wasamalia wema.ABIRIA zaidi ya 40 wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Majinja Express ambalo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam kufunikwa na kontena maeneo ya Changalawe, Mafinga mkoani Iringa muda huu.Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba dereva wa basi alikuwa akijaribu kulipita lori ndipo walipodondokewa na kontena hilo.
Inadaiwa kuwa basi hilo lilikuwa limebeba abiria 65 na abiria nane tu ndiyo walionusurika katika ajali hiyo...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca

Takribam watu 107 wamepoteza maisha na wengine 238 kuumia baada ya crane kuanguka kwenye msikiti mkuu wa Mecca, Saudi Arabia. Kwa mujibu wa mashuhuda walioiambia Al Jazeera, crane huyo ilianguka jana mida ya jioni. Mamia ya watu waliojeruhiwa wakipewa huduma ya kwanza Msikiti huo ulikuwa umejaa watu pamoja na kuwa tukio hilo lilotokea kabla ya […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wanahabari wawili wafariki dunia

Tasnia ya habari imepata simanzi baada ya waandishi wawili wa habari, Innocent Munyuku na Baraka Karashani kufariki dunia jana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF:Wachezaji wawili wafariki

Rais wa soka barani Afrika Caf Issa Hayatou ametuma risala za rambirambi kwa familia za wachezaji wawili wa soka waliofariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani