BASI LAUA BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA IRINGA
![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNdltbKUHDB7QIQaX-GcgmGtz87GswZlB5993ZVfWMFF7cU2rCfIyx3KWWk5SjiFRFUuyWXN7pwlBJ66d8g34O8/breakingnews.gif)
ABIRIA zaidi ya 40 wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Majinja ambalo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam kufunikwa na kontena maeneo ya Mafinga mkoani Iringa muda huu. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba dereva wa basi alikuwa akijaribu kulipita lori ndipo walipondokewa na…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Mar
BASI LAUA ZAIDI YA ABIRIA 40 BAADA YA KUANGUKIWA NA KONTENA IRINGA
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPN4MTkzhZdj2BMrcDES1HIF0YNw7aY-wcMX89rwE0Fhjepd-Y38ePQKv7UEsAEFJCLYrCaALYfgkAnLw5UuEcP/IMG20150311WA0021.jpg)
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPdNyoxKIGsqVYw7Tb1JwcrtYFanGQgYMhaeukec9x6Z0nQw8JfVCyhxle2Egy3gUpWa3VCHWprFD4CxARiZhIy/IMG20150311WA0019.jpg)
![](http://api.ning.com/files/qmsUgHzH5lPL-LJm9MwPWS-4FH0*P6EZJX8*kHXfp0x9z9aM90uvpkTgqCeqVXj*aUg66ySSlt-qTRH5wf5JztkOoSJPly0h/IMG20150311WA0014.jpg)
Inadaiwa kuwa basi hilo lilikuwa limebeba abiria 65 na abiria nane tu ndiyo walionusurika katika ajali hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kontena lalalia basi, laua 42, lajeruhi 23
10 years ago
Vijimambo12 Mar
HABARI KAMILI KONTENA LALALIA BASI LAUA 42 LAJERUHI 23
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2650320/highRes/964211/-/maxw/600/-/gm8rchz/-/ajali_mafinga.jpg)
Mufindi. Watu 42 wamepoteza maisha na wengine 23 kujeruhiwa baada ya lori la mizigo kugongana na basi na kontena lililokuwa limebebwa kuangukia gari hilo la abiria, katika ajali ya aina yake iliyotokea eneo la Mafinga Changalawe mkoani Iringa.Watu 37 waliokuwa kwenye basi hilo la kampuni ya Majinjah Express lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam, walifariki...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/78albYJ5oUk/default.jpg)
9 years ago
StarTV10 Oct
Kijana mmoja afariki baada ya kuangukiwa na jiwe
Kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Johnson Muchunguzi amefariki dunia baada ya kuangukiwa na miamba ya mawe alipokuwa katika shughuli za uchimbaji wa mchanga kwenye eneo la machimbo yasiyo rasmi ya Rwome yaliyopo katika kata ya Kashai Manispaa ya Bukoba,.
Baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kijana huyo pamoja na wenzake walikutwa na dhaama hiyo majira ya asubuhi baada ya jiwe kubwa kuanguka na kumfukia wakati akiwa katika shimo alilokuwa akichimbia mchanga.
Vikosi vya...
9 years ago
StarTV19 Nov
Watoto wawili wafariki baada ya kuangukiwa na nyumba
Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia mkoani Singida baada ya kuangukiwa na nyumba ya udongo maarufu kama tembe walimokuwa wamelala wakati mvua kubwa ikiendelea kunyesha.
Tukio hilo la maafa limetokea majira ya saa saba usiku wa kuamkia leo Jumatano katika Kijiji cha Mningaa/Mkwese Wilaya ya Manyoni mkoani humo na kusababisha vifo vya watoto hao wa kiume wenye umri wa miaka 4 na 12 waliokuwa wamelala peke yao kwenye nyumba hiyo ya tembe.
Simuzi ya kusikitisha kutoka kwa familia...
11 years ago
Habarileo02 Feb
Basi laua polisi 5
ASKARI Polisi watano wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma wamekufa papo hapo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso wa uso na basi la Kampuni ya Mohammed Trans. Ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Corolla lenye namba ya usajili T 770 ABT lililotumiwa na polisi hao na basi aina ya Scania lenye namba za usajili T 997 AVW, mali ya Kampuni ya Mohammed Trans lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Dodoma.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Basi lapinduka, laua watano