Sekta ya elimu ijengwe upya
MATOKEO ya kidato cha nne yameshtua wengi Tanzania. Pamoja na laumu hizo kwenda huku na kule, lakini sidhani kama kuna sababu ya kushtuka, kwa sababu tatizo hili sio la leo
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Nov
Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu
Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika sekta hiyo pamoja na kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.
Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.
Katika uzinduzi wa jopo la washauri...
11 years ago
Mwananchi27 May
Sekta ya uchukuzi nchini iangaliwe upya
11 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Mfumo wa elimu upitiwe upya’
10 years ago
Habarileo17 Dec
Sheria za elimu kupitiwa upya
OFISI ya Mrajisi wa Elimu Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kuzipitia baadhi ya sheria ambazo zinatoa mwanya zaidi kwa wazazi kuwaozesha watoto wa kike na kukosa haki na fursa ya kupata elimu ya lazima.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Wadau: Mfumo wa elimu utazamwe upya
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Ni mwaka mpya, tufikiri upya kuinusuru elimu yetu
11 years ago
Mwananchi30 Aug
Spika Zziwa ataka miundombinu ijengwe
9 years ago
Mtanzania05 Dec
‘Sekta ya Elimu taabani’
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
UBORA wa elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne umetajwa kushuka kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu kutokana na kukosekana kwa falsafa ya kuendeleza elimu licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.
Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya Elimu ya Miaka 10 ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne, Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu, John Kalage, alisema katika kipindi cha uongozi wa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Mabadiliko sekta ya elimu
SERIKALI imesema kuwa wanafunzi 16,800 wakiwemo watahiniwa wa kujitegemea 10, wenye sifa lakini wamekosa nafasi za kujiunga kidato cha tano, sasa wataanzishiwa utaratibu wa kusoma stashahada ya ualimu pamoja na...