Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mfumo wa elimu upitiwe upya’

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali kupitia upya mfumo wa elimu na kuanzisha ule unaoongeza uwezo wa kufikiri na kuondoa utamaduni wa kubuni unaozidi kukua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wadau: Mfumo wa elimu utazamwe upya

Ni jambo la kawaida kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya msingi au sekondari kutokuwa na ustadi wa maisha hasa wa kujitegemea na kuepuka kuwa tegemezi kwa wazazi au walezi wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Mfumo serikalini utazamwe upya

Zikiwa zimepita siku 30, tangu Dk John Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, tumeona kasi yake ikivutia si nchini tu, lakini amekuwa gumzo hata katika nchi jirani na dunia kwa ujumla.

 

5 years ago

Michuzi

Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19

 Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini

Uzoefu na tafiti vinaonyesha vijana wanaohitimu katika ngazi mbalimbali za elimu nchini wanakabiliwa na changamoto ya kupata ajira.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria za elimu kupitiwa upya

OFISI ya Mrajisi wa Elimu Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kuzipitia baadhi ya sheria ambazo zinatoa mwanya zaidi kwa wazazi kuwaozesha watoto wa kike na kukosa haki na fursa ya kupata elimu ya lazima.

 

10 years ago

Mwananchi

Sekta ya elimu ijengwe upya

MATOKEO ya kidato cha nne yameshtua wengi Tanzania.  Pamoja na laumu hizo kwenda huku na kule,  lakini sidhani kama kuna sababu ya kushtuka, kwa sababu tatizo hili sio la leo

 

11 years ago

Mwananchi

Ni mwaka mpya, tufikiri upya kuinusuru elimu yetu

Niwatakie heri na baraka ya mwaka mpya 2014. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuvuka mwaka salama na kuanza mwaka mwingine kuijenga nchi yetu.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mfumo wa elimu una matatizo’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema mfumo wa elimu nchini una matatizo 10 yanayokwamisha mafanikio katika sekta hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa elimu wakwaza wazazi

UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani