Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo serikalini utazamwe upya

Zikiwa zimepita siku 30, tangu Dk John Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, tumeona kasi yake ikivutia si nchini tu, lakini amekuwa gumzo hata katika nchi jirani na dunia kwa ujumla.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wadau: Mfumo wa elimu utazamwe upya

Ni jambo la kawaida kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya msingi au sekondari kutokuwa na ustadi wa maisha hasa wa kujitegemea na kuepuka kuwa tegemezi kwa wazazi au walezi wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Muundo wa Tanesco utazamwe upya

Kwa muda wa wiki moja kuanzia Agosti Mosi hadi juzi, wakazi wanaotumia nishati ya umeme katika wilaya za Kisarawe na Ilala katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani walikabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa umeme baada ya transfoma iliyopo Gongo la Mboto inayosambaza umeme katika maeneo hayo kupata hitilafu.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATAKA UTARATIBU WA AJIRA SERIKALINI UANGALIWE UPYA


 
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Liwale mkoani Lindi ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa kuna haja ya kubadilisha taratibu za ajira badala ya kuwa za kudumu ziwe za mikataba kwani itasaidia kufanya kazi kwa ufanisi.
 Wananchi wa Liwale wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa Liwale mkoani Lindi ambapo aliwaambia kuwa wapinzani kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mfumo ndiyo uliochelewesha mishahara serikalini’

Serikali imebainisha kuwa mabadiliko ya mfumo wa ulipaji wa mishahara kwa watumishi katika mwaka huu wa fedha ndiyo uliochangia uchelewaji uliojitokeza katika baadhi ya taasisi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mfumo wa elimu upitiwe upya’

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali kupitia upya mfumo wa elimu na kuanzisha ule unaoongeza uwezo wa kufikiri na kuondoa utamaduni wa kubuni unaozidi kukua.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa: Mgongano wa masilahi utazamwe

Rais mstaafu, Benjamin Mkapa amesema tatizo la mgongano wa masilahi kwa viongozi na watumishi wa umma linahitaji kutazamwa kwa umakini ili kuleta usawa katika utoaji wa uamuzi wa jambo lolote, hasa linalowagusa wananchi.

 

10 years ago

Vijimambo

TFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI

 Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi (kulia), akibonyeza kituvye Dar es Salaam leo asubuhi, kuashiria uzinduzi wa mfumo wa utoaji vibali kwa njia ya kielekitroniki (e-portal) ambao utawezesha Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), kuhudumia wateja wake kwa kutumia mtandao wa intaneti. Mpango huo unaendeshwa kwa ushirikiano wa TFDA na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) Viongozi wakiwa meza kuu wakifuatilia uzinduzi huo.
 Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla hiyo ya uzinduzi. Wadau...

 

9 years ago

Habarileo

Mishahara serikalini kuwiana

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Utendakazi Serikalini

Mada: Je, serikali inawahudumia wananchi ipasavyo?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani