Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mfumo ndiyo uliochelewesha mishahara serikalini’

Serikali imebainisha kuwa mabadiliko ya mfumo wa ulipaji wa mishahara kwa watumishi katika mwaka huu wa fedha ndiyo uliochangia uchelewaji uliojitokeza katika baadhi ya taasisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mishahara serikalini kuwiana

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya watumishi wa wakala za Serikali, ili kusiwe na tofauti kubwa kati ya watumishi wa juu na wa chini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Girl Guides yaomba mishahara serikalini

CHAMA cha Tanzania Girl Guides, kimeiomba serikali kuangalia utaratibu wa kuwalipa mishahara makamishna wa chama hicho ili kuweza kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Mwananchi

Mfumo serikalini utazamwe upya

Zikiwa zimepita siku 30, tangu Dk John Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, tumeona kasi yake ikivutia si nchini tu, lakini amekuwa gumzo hata katika nchi jirani na dunia kwa ujumla.

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu

>Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi nchini kutaka Kodi ya Mshahara (Paye), ipunguzwe hadi chini ya asilimia 10 kimekwama baada ya Serikali kupunguza kodi hiyo kwa asilimia moja.

 

9 years ago

Vijimambo

TFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI

 Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi (kulia), akibonyeza kituvye Dar es Salaam leo asubuhi, kuashiria uzinduzi wa mfumo wa utoaji vibali kwa njia ya kielekitroniki (e-portal) ambao utawezesha Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), kuhudumia wateja wake kwa kutumia mtandao wa intaneti. Mpango huo unaendeshwa kwa ushirikiano wa TFDA na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) Viongozi wakiwa meza kuu wakifuatilia uzinduzi huo.
 Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla hiyo ya uzinduzi. Wadau...

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye kwake ndiyo ni ndiyo

Wakazi wa Hanang’ wana maneno tofauti ya kumsifu na kumshukuru Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ambaye alikuwa mbunge wa Hanang kwa miaka 20 mfululizo.

 

11 years ago

Habarileo

Mishahara kupanda

Rais Jakaya Kikwete (katikati) akiimba wimbo wa mshikamano pamoja viongozi wa Serikali na Chama cha Wafanyakazi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kitaifa Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kushoto ni Waziri wa Utumishi, Hawa Ghasia, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, Naibu Rais TUCTA, Notburga Masikini na Katibu Mkuu wa TUCTA, Nicolaus Mgaya. (Picha na Mroki Mroki).RAIS Jakaya Kikwete, amewaahidi wafanyakazi nchini kuwa katika mwaka ujao wa fedha ambao Mpango wa Bajeti umeonesha kuwa itakuwa ya Sh trilioni 19.7, Serikali itapandisha mishahara ya wafanyakazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mishahara Mbeya City

Baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Bara huku Mbeya City ikionyesha ushindani wa hali ya juu kwa timu kongwe kwenye ligi hiyo, wamiliki wa timu hiyo ambao ni Halmashauri ya Jiji la Mbeya wamewatangazia donge nono  la mshahara kwa wachezaji na benchi la ufundi katika msimu ujao wa ligi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani