Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mfumo wa elimu una matatizo’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema mfumo wa elimu nchini una matatizo 10 yanayokwamisha mafanikio katika sekta hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je,una matatizo ya kukatizwa kwa umeme?

Tesla Motors, inayounda betri ya gari, imetangaza kuwa, ina mpango wa kuuza teknolojia ya betri yenye uwezo wa kuzalisha kawi nyumbani.

 

9 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Matatizo ya mfumo wa mkojo

Baada ya kumaliza mfululizo wa makala ya udogo wa maumbile ya uume, leo nawaletea mada nyingine kuhusu matatizo ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo unaundwa na figo mbili, mirija miwili inayotoa mkojo katika figo kwenda katika kibofu, ijulikanayo kama ureta.

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE

Dk. Frank Ndiyanka
+255 713 112112 | +255 753 644644
LEO tutazungumzia mmea uitwao mlonge ambao ni moja ya mmea tiba unaotumika zaidi kumtibia mwanadamu.
Mmea huu katika pande zake zote hutumika zaidi katika matibabu, nikimaanisha kuanzia kwenye mizizi, magome, majani, pamoja na maua yake.
Mmea huu unaweza kumsaidia mwanadamu katika kutatua matatizo mbalimbali katika mwili wake na leo tutaanza na upande wa mwanamke...

 

11 years ago

Habarileo

Mfumo dume chanzo cha matatizo Afrika -Sumaye

ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema changamoto nyingi za Afrika zimetokana na mfumo uliopo ambao unawaacha nyuma wanawake ambao ndio wanaoguswa zaidi na changamoto hizo.

 

11 years ago

GPL

MATATIZO KATIKA MFUMO WA CHAKULA (GASTRO INTESTINAL DISORDERS)

Jinsi tatizo linavyojitokeza
Matatizo yanayotokea katika mfumo huu ni kama vile vidonda, uvimbe na kasoro za kuzaliwa nazo.
Vidonda vinaweza kuwa kinywani, kooni kwenye njia ya kupitishia chakula, tumboni hadi katika mfuko wa haja kubwa na njia yake ya kutolea. Uvimbe pia hutokea maeneo hayo yote tuliyoyaona na uvimbe huu unaweza kuwa kansa au usiwe na kansa. Kasoro za kuzaliwa nazo ni kama vile kuziba  kwa njia ya...

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-3

WIKI iliyopita tuliishia kwenye dalili za tatizo linaloitwa Pelvic Inflammatory Diseases (PID), leo tutajikumbusha dalili hiyo na tutaendelea na upande mwingine. DALILI ZA PELVIC INFRAMATORY DISEASES (PID)
Dalili ya kwanza ilikua ni hali ya kupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi ambayo kitaalamu inaitwa Dysmenorrheal, tulisema kwamba maumivu haya makali wakati wa hedhi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni...

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAUME-5

Mti wa Mlongwe. WIKI iliyopita tuliangalia tiba ya mmea huu wa mlonge kwa wanaume na tukaahidi kwamba suala hili tutaendelea nalo pia wiki hii na leo tutaendelea na pande zingine pia, lakini kabla hatujaendelea tujikumbushie kwanza upande wa magome yake. MAGOME YA MLONGE
Kwa mwanaume mwenye tatizo la kuwahi sana kufika kileleni anaweza kutumia magome ya mti huu wa mlonge kwa kuvuna vizuri na hasa kwa upande mmoja siyo kwa...

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-2

WIKI iliyopita tulizungumzia wanawake wanaokumbwa na tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi na tukawasihi kwamba wanaweza kutumia mti wa mlonge ili kutatua tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi, lakini kwa ufupi tu wangepata kujua ni jinsi gani wanaweza kukumbwa na tatizo kama hili: VYANZO
Vyanzo vya tatizo la kuvimba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni kama vile:
Kukumbwa na bakteria mbalimbali sehemu za siri, lakini...

 

5 years ago

Michuzi

Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19

 Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani