Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PIRAMIDI YA AFYA: Matatizo ya mfumo wa mkojo

Baada ya kumaliza mfululizo wa makala ya udogo wa maumbile ya uume, leo nawaletea mada nyingine kuhusu matatizo ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo unaundwa na figo mbili, mirija miwili inayotoa mkojo katika figo kwenda katika kibofu, ijulikanayo kama ureta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanawake wengi wana matatizo ya njia ya mkojo

>Magonjwa ya mfumo wa njia ya mkojo na figo ni kati ya maradhi yanayowasumbua watu wengi duniani.

 

10 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Ugonjwa wa mafindofindo kwa watoto

>Kumekuwa na uelewa  mdogo wa suala la vidonda vya koo maarufu kama mafindofindo katika jamii zetu.

 

10 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Uchunguzi wa ugumba kwa wanaume

>Juma lililopita tuliweza kuona sababu mbalimbali zinazochangia ugumba kwa wanaume, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya uchunguzi na matibabu.

 

10 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya

Leo tutaona njia maarufu ambazo zipo katika matangazo mbalimbali ikiwamo magazeti, mabango ya matabibu wa kienyeji, mitandaoni pamoja na zile zilizoshindwa kukidhi vigezo vya kutumika na kuingizwa katika miongozo ya matibabu ya Shirika la Afya Duniani (WHO).

 

10 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Ufanye nini endapo tiba ya ugumba imeshindikana?

>Juma lililopita tuliweza kuona matibabu ya jumla ya tatizo la ugumba kwa wanaume, leo nitahitimisha mfululizo wa makala hizi kwa kumalizia na ushauri utakaolenga nini chakufanya pale tatizo hilo linaposhindikana kupona.

 

10 years ago

Dewji Blog

Suluhu kwa wagonjwa wa Figo na mfumo wa mkojo yapatikana

logo_o_bnr

Watanzania  kunufaika na kile ambacho wachambuzi huona kama nafasi adimu katika sekta ya afya. Hii ni kwasababu nchi inatarajia kupokea wataalamu wawili kutoka taasisi mashuhuri ya matibabu duniani. Kwa kushirikiana na madaktari kutoka hosipitali ya Hindu Mandal. Madaktari kutoka hospitali ya Apollo watahudumia  na kutoa ushauri kwa wagonjwa wa figo na mfumo wa mkojo siku ya Oktoba 10 na Oktoba 11 katika Hospitali ya Hindu Mandal Dar es Salaam.

Watanzania wengi  wenye maradhi hayo hushindwa...

 

5 years ago

Michuzi

MTAMBO WA KISASA WA KUVUNJA MAWE KWENYE MFUMO WA MKOJO BILA UPASUAJI WATUA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA

Charles James, Globu ya JamiiHOSPITALI ya Benjamin Mkapa ya jijini Dodoma imezindua huduma ya kwanza ya kisiasa ya kuvunja mawe kwenye mfumo wa mkojo bila kufanya upasuaji.
Huduma hiyo imezinduliwa baada ya kuwasili kwa mtambo wa kisasa unaotumia mionzi katika kufanya huduma hiyo tofauti na awali ambapo wagonjwa walikua wakifanyiwa upasuaji.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Dkt. Alphonce Chandika amesema huduma hiyo itafanyika kwa mara...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mfumo wa elimu una matatizo’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema mfumo wa elimu nchini una matatizo 10 yanayokwamisha mafanikio katika sekta hiyo.

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-2

WIKI iliyopita tulizungumzia wanawake wanaokumbwa na tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi na tukawasihi kwamba wanaweza kutumia mti wa mlonge ili kutatua tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi, lakini kwa ufupi tu wangepata kujua ni jinsi gani wanaweza kukumbwa na tatizo kama hili: VYANZO
Vyanzo vya tatizo la kuvimba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni kama vile:
Kukumbwa na bakteria mbalimbali sehemu za siri, lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani