PIRAMIDI YA AFYA: Uchunguzi wa ugumba kwa wanaume
>Juma lililopita tuliweza kuona sababu mbalimbali zinazochangia ugumba kwa wanaume, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya uchunguzi na matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jul
PIRAMIDI YA AFYA: Ufanye nini endapo tiba ya ugumba imeshindikana?
10 years ago
Mwananchi26 Sep
PIRAMIDI YA AFYA: Ugonjwa wa mafindofindo kwa watoto
9 years ago
Mwananchi11 Sep
PIRAMIDI YA AFYA: Matatizo ya mfumo wa mkojo
9 years ago
Mwananchi14 Aug
PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya
5 years ago
Michuzi11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Wanaume washiriki afya ya uzazi, jinsia kwa kusindikiza wake zao kliniki
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Joseph Sabore (anayeangalia kamera) akizungumza na maafisa wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA), YMC na WaterAid Tanzania, ambao wako katika halmashauri hiyo kufanya tathimini ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia. Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi 1.6 bilioni, unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na unatarajiwa kufikia ukingoni...
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
Dk. Sheni ataka kuboreshwa uchunguzi wa afya
NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amezitaka nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Bara la Afrika kuimarisha huduma za maabara na utoaji wa elimu na uchunguzi wa maradhi ‘pathologia’.
Aliyasema hayo jana katika ukumbi wa Mikutano wa Afrika Mashariki, mjini Arusha, wakati akifungua Mkutano wa 12 wa Jumuiya ya APECSA kutoka Kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa bara la Afrika.
Mkutano huo ambao hufanyika kila baada ya miaka miwili, kwa mwaka huu pia ulijumuisha...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mambo muhimu ya uchunguzi afya ya mwanaume
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Ugumba kwa mwanamke
KARIBU katika safu ya makala ya afya, ili tuweze kufahamu mengi kuhusiana na afya zetu na hatimaye tujue jinsi ya kujikinga, ili tusipate magojwa mapya na matibabu kwa ujumla. Wanawake...