Dk. Sheni ataka kuboreshwa uchunguzi wa afya
NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amezitaka nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Bara la Afrika kuimarisha huduma za maabara na utoaji wa elimu na uchunguzi wa maradhi ‘pathologia’.
Aliyasema hayo jana katika ukumbi wa Mikutano wa Afrika Mashariki, mjini Arusha, wakati akifungua Mkutano wa 12 wa Jumuiya ya APECSA kutoka Kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa bara la Afrika.
Mkutano huo ambao hufanyika kila baada ya miaka miwili, kwa mwaka huu pia ulijumuisha...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi10 years ago
Habarileo13 Feb
Huduma za afya Z’bar kuboreshwa
WIZARA ya Afya Zanzibar imeeleza azma yake ya kuendelea kuhakikisha kwamba wananchi wa Zanzibar wanapata huduma bora za kinga na tiba bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
10 years ago
Mwananchi06 Mar
JK azindua kituo cha Azam TV, ataka kuboreshwa kwa maslahi ya waandishi wa habari
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mnyika ataka matokeo ya uchunguzi Ruvu Juu
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, ameitaka Wizara ya Maji kuueleza umma juu ya matokeo ya uchunguzi wa kubaini kama tatizo linalojirudia kwenye mtambo wa maji wa Ruvu Juu ni masuala...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mambo muhimu ya uchunguzi afya ya mwanaume
10 years ago
Mwananchi08 May
PIRAMIDI YA AFYA: Uchunguzi wa ugumba kwa wanaume
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uYJ-7qHZIt4/VC_Mq8vozLI/AAAAAAAGntk/ePW5_QrlqhM/s72-c/u3.jpg)
JK AKAGUA Chuo cha Sayansi ya Afya na Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu UDOM
![](http://3.bp.blogspot.com/-uYJ-7qHZIt4/VC_Mq8vozLI/AAAAAAAGntk/ePW5_QrlqhM/s1600/u3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-S_DlRykBlSE/XslSLG9Gn_I/AAAAAAALrXs/OgiqMVUAhwQ7p-q4WCYxqs8kAlKMiTftwCLcBGAsYHQ/s72-c/3e9c260a-da8a-4ebd-a43f-609e3b2878f0.jpg)
SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI UPUNGUFU MBALIMBALI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f00d5eb9-296f-420c-bb07-dd6edffa21d2.jpg)
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S_DlRykBlSE/XslSLG9Gn_I/AAAAAAALrXs/OgiqMVUAhwQ7p-q4WCYxqs8kAlKMiTftwCLcBGAsYHQ/s72-c/3e9c260a-da8a-4ebd-a43f-609e3b2878f0.jpg)
SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI MAPUNGUFU MBALIMBALI
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...