Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI MAPUNGUFU MBALIMBALI


Na WAMJW – Dar es Salaam

Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.

Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI UPUNGUFU MBALIMBALI


Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI

 Na Mwandishi Wetu,SERIKALI ya Tanzania imeelezea utayari wake wa kupiga jeki na kuwajumuisha wafanyakazi wa afya ya jamii katika nguvukazi ya sekta ya afya (national health workforce) ya taifa ili kuboresha afya ya jamii hususani katika maeneo ya vijijini.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAJENGA MAABARA YA KISASA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU YA KUAMBUKIZWA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI TISA MKOANI KILIMANJARO

Na WAMJW- KILIMANJARO.
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejenga Maabara ya Kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ya binadamu ya kuambukiza yenye thamani ya shilingi Bilion tisa katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara hiyo ikiwa  inaelekea kukamilika ili kuanza kutoa huduma za uchunguzi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchunguzi wa DNA kubaini wauaji Thailand

Polisi nchini Thailand wameimarisha hatua za uchunguzi wa DNA kwenye kisiwa cha Koh Tao kubaini waliwaua waingereza 2

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI IMEKABIDHIWA VIFAA VYA MAABARA VYA UCHUNGUZI NA UTAMBUZI WA MAGONJWA YA MIFUGO

 SERIKALI imekabidhiwa vifaa vya maabara vya uchunguzi na utambuzi wa magonjwa ya mifugo ambavyo vitasaidia kufanikisha juhudi za kupambana na magonjwa yakiwemo yanayotoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.
Vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) chini ya programu ya Ajenda ya Usalama wa Afya Ulimwenguni (GHSA-ZDAH).


Lengo ni kukuza uwezo wa dunia wa kujilinda dhidi ya hatari za...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisoma maelezo baada ya kuzindua Muongozo wa Mpango wa Watoa huduma ya Afya ya Jamii, Dar es Salaam jana. Wizara ya Afya imezindua muongozo huwa ikiwa ni muendelezo wa kuendelea kutoa kipaumbele katika kuimarisha huduma za kinga, ikiwemo elimu ya afya na uhamasishaji, lishe, udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza kama Ukimwi na afya ya mama na mtoto.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA MIL 240 KWA AJILI YA MAABARA ZA SEKONDARI CHALINZE



……………………………………………………………………………………
NA MWAMVUA MWINYI, Chalinze 
SERIKALI Kuu imetoa kiasi cha sh.milioni 240 ,kwa ajili ya kumalizia maabara nane katika za sekondari kwenye halmashauri ya Chalinze, wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani .
Fedha hizo zitatokana na bajeti ya mwaka wa 2020/2021, zinalenga kujenga vyumba hivyo katika shule 9 za sekondari, ambapo kila chumba kimoja kitatumia sh.milioni 30. 
Kaimu Ofisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Chalinze, Irene Joseph aliiambia Kamati ya Siasa ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM

Mvuvi Waziri Mfaume ambaye ni mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam alikutwa na mpiga picha leo akishimba shimo kwa ajili ya kuhifadhia uchafu kandokando ya barabara ya Barrack Obama ambayo zamani ilifahamika kwa jina la barabara ya bahari (Ocean Road). Anayeonekana akifagia eneo hilo ni Mama Chiku Hamadi Mkazi wa Mwananyamala. Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wakifanya usafi wa mazingira leo katika soko la samaki la Feri ikiwa ni kutekeleza agizo la Mhe. Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani