Mambo muhimu ya uchunguzi afya ya mwanaume
Kupima afya ni muhimu kwa wanaume, hata kama hawana dalili za magonjwa. Madaktari bingwa wa magonjwa ya tiba wanapendekeza wanaume wafanyiwe uchunguzi wa afya kila mwaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
Dk. Sheni ataka kuboreshwa uchunguzi wa afya
NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amezitaka nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Bara la Afrika kuimarisha huduma za maabara na utoaji wa elimu na uchunguzi wa maradhi ‘pathologia’.
Aliyasema hayo jana katika ukumbi wa Mikutano wa Afrika Mashariki, mjini Arusha, wakati akifungua Mkutano wa 12 wa Jumuiya ya APECSA kutoka Kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa bara la Afrika.
Mkutano huo ambao hufanyika kila baada ya miaka miwili, kwa mwaka huu pia ulijumuisha...
10 years ago
Mwananchi08 May
PIRAMIDI YA AFYA: Uchunguzi wa ugumba kwa wanaume
>Juma lililopita tuliweza kuona sababu mbalimbali zinazochangia ugumba kwa wanaume, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya uchunguzi na matibabu.
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Fahamu mambo 10 muhimu ya Baraza la Dk Magufuli
Desemba 10 mwaka huu, Rais John Magufuli alitangaza Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano ambalo lina jumla ya mawaziri 34, ingawa bado hajatangaza majina manne. Tunatumia fursa hii kujadili mambo kumi muhimu yanayoambatana na baraza lake pamoja na utaratibu wa utangazaji kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Siku ya Wapendanao; mambo muhimu ya kuyafahamu
>Nchini Italia wakati huo kulikuwa na kiongozi aliyeitwa Mfalme Claudius II; aliamini kuwa askari anapooa hawi mkakamavu na pia muda mwingi anawaza kuhusu familia yake zaidi ya kitu kingine chochote. Hivyo alipiga marufuku ndoa kwa askari.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mambo 20 muhimu kuhusu Kombe la Dunia
1 — Mechi zote za Kombe la Dunia 1930 nchini Uruguay
zilichezwa kwenye jiji moja: Montevideo.
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Timu 14 Ligi Kuu, mambo muhimu 14
Wachezaji wa timu 14 za Ligi Kuu Bara wameanza likizo tangu Jumapili ili kupisha kipindi cha usajili wa dirisha dogo baada ya raundi saba kumalizika huku mambo kadhaa na yenye umuhimu yakijitokeza.
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama
Uzazi ni suala la msingi linalotawala viumbe vyote vilivyo hai duniani.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Mambo muhimu matano yanayoiweka CCM pabaya
>Wiki mbili zilizopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliadhimisha sherehe za kutimiza miaka 37 tangua kuanzishwa, huku kikiwa na mambo matano yanayokikaba koo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania