Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku ya Wapendanao; mambo muhimu ya kuyafahamu

>Nchini Italia wakati huo kulikuwa na kiongozi aliyeitwa Mfalme Claudius II; aliamini kuwa askari anapooa hawi mkakamavu na pia muda mwingi anawaza kuhusu familia yake zaidi ya kitu kingine chochote. Hivyo alipiga marufuku ndoa kwa askari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Umeshajua utoke vipi siku ya wapendanao?

Ni siku chache zimebaki kabla ya kuadhimisha siku ya wapendao, katika siku hii rangi nyekundu huonekana kupamba katika maeneo mbalimbali.

 

10 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS INAWATAKIA HERI YA SIKU YA WAPENDANAO

LEO ni Siku ya Wapendanao ‘Valentine’s Day! Kampuni ya Global Publishers inayochapisha Magazeti ya Ijumaa, Ijumaa Wikienda, Amani, Uwazi, Risasi, Championi pamoja na kumiliki Global TV Online na mtandao huu inawatakia wasomaji na watazamaji wake furaha na amani katika siku hii adhimu. Tunapenda kuwaambia kuwa tunawapenda sana kwani mmekuwa mkitusapoti na tunaahidi kuendelea kuwapenda siku zote. Tunaahidi kuwaletea...

 

5 years ago

Michuzi

TECNO ilivyosherehekea Siku ya Wapendanao na wateja wake

Katika kusherehekea siku ya Wapendanao, kampuni ya simu za mkononi TECNO ilisherehekea siku hii maarufu ya Valentine na wateja wake wa   simu za TECNO SPARK4, CAMON 12 na CAMON12 AIR, pamoja na fans wake kutoka kurasa zake za mitandaoni kwa kuwapeleka sehemu mbalimbali maalum kwaajili ya kuvinjari mwishoni mwa wiki.Tukio hili maalum liliandaliwa kwaajili ya kuwakutanisha watu wawili wa jinsia tofauti pasipo kufahamiana yaani blind date. Kabla ya kupelekwa katika hoteli ambayo iliandaliwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tusifanye ‘madudu’, yapo mazuri ya kufanya siku ya wapendanao

Awali ya yote naomba niwatakie wapenzi wasomaji wangu heri ya Sikukuu ya Wapendano (Valentine Day).

 

10 years ago

Dewji Blog

Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao

1069410_488216681262565_60269170_n

 

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu  mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.

Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook,  wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...

 

10 years ago

GPL

MATUKIO YALIYOJIRI SIKU YA WAPENDANAO MSASANI BEACH CLUB NA ESCAPE ONE

Baadhi ya Watangazaji na wafanyakazi wa EFM wakitambulishana siku ya Valentine Day ndani ya Ukumbi wa Msasani Beach Club. Mmoja wa watangazaji wa EFM wakiongea na mashabiki waliokuwa wamefurika katika shoo hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

ECOBANK TANZANIA YATOA ZAWADI KWA WATEJA WAKE SIKU YA WAPENDANAO

Mkuu wa Teller wa Benki ya Ecobank, Tawi la Mwenge, Tusekile Mwakyembe (kulia) akikabidhi zawadi Lucas Mosha siku ya wapendanao akiwa ni mmoja wa wateja wa mwanzo wa tawi hilo alipofika kupatiwa huduma jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Benki hiyo ilitoa zawadi kwa wateja wake wa mwanzo ikiwa ni jinsi ya kuwashukuru na kuonesha wanawajali wateja wake kwa zawadi maalum.Meneja wa Benki ya Ecobank, Tawi la Mwenge, Patrick Njole (kushoto) akikabidhi zawadi kwa Brandoni Kimoi ya siku...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Waigizaji wa Siri ya Mtungi na mashabiki wao walivyosherekea siku ya wapendanao " VALENTINE DAY"

Kila mtu anakumbuka kivyake VALENTINE yake ilivyoenda yani, mashabiki wa tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’ walipata nafasi ya kuenjoy na mastaa wanaoonekana kwenye tamthilia hiyo, Cheche pamoja na Cheusi.

Fans hao walipatikana kwenye shindano lililofanywa kwenye kurasa za Siri ya Mtungi kwenye Facebook, Instagram na Twitter, kazi ilikuwa rahisi tu, kuwashawishi wasanii hao kwa kutuma nyimbo, picha na video.

Walioshinda ni wawili, Wery Kuli na Nargis Swizzan.

Walienjoy pamoja chakula cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani