Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA:Waigizaji wa Siri ya Mtungi na mashabiki wao walivyosherekea siku ya wapendanao " VALENTINE DAY"

Kila mtu anakumbuka kivyake VALENTINE yake ilivyoenda yani, mashabiki wa tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’ walipata nafasi ya kuenjoy na mastaa wanaoonekana kwenye tamthilia hiyo, Cheche pamoja na Cheusi.

Fans hao walipatikana kwenye shindano lililofanywa kwenye kurasa za Siri ya Mtungi kwenye Facebook, Instagram na Twitter, kazi ilikuwa rahisi tu, kuwashawishi wasanii hao kwa kutuma nyimbo, picha na video.

Walioshinda ni wawili, Wery Kuli na Nargis Swizzan.

Walienjoy pamoja chakula cha...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAIGIZAJI SIRI YA MTUNGI WALIVYOISHEREHEKEA VALENTINE’S DAY NA MASHABIKI WAO

Muigizaji wa Siri ya Mtungi Godliver Gadisan ‘Cheusi’ akiwa na Wery Kuli mmoja ya mashabiki waliojishindia nafasi ya kusherehekea pamoja mchana wa siku ya wapendanao,Cheche akipata mlo wa mchana na Nargis Swizzan ambaye ni shabiki wa tamthilia ya Siri ya Mtungi katika Mgahawa wa Karafuu Kinondoni.Zawadi ya ua jekundu toka kwa Cheusi kwenda shabiki wake Wery Kuli.Cheche na Cheusi katika picha ya pamoja na mashabiki wao mara baada ya kupata chakula cha mchana.Mashabiki wa Siri ya Mtungi katika...

 

10 years ago

GPL

WAIGIZAJI SIRI YA MTUNGI WALIVYOISHEREHEKEA VALENTINE’S DAY NA MASHABIKI WAO

Muigizaji wa Siri ya Mtungi Godliver Gadisan ‘Cheusi’ akiwa na Wery Kuli mmoja ya mashabiki waliojishindia nafasi ya kusherehekea pamoja mchana wa siku ya wapendanao, Cheche akipata mlo wa mchana na Nargis Swizzan ambaye ni shabiki wa tamthilia ya Siri ya Mtungi katika Mgahawa wa Karafuu Kinondoni.…

 

10 years ago

Bongo5

Vituko vya Valentine’s day: Ndoa zafungwa kwa staili yake ndani ya jeneza siku ya wapendanao! (Picha)

Miongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko Bangkok, Thailand. Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao. Chanzo: Daily Mail

 

11 years ago

GPL

NJOO USHUHUDIE NYIMBO TAMU ZA KIMAHABA NA ZAWADI KEM KEM SIKU YA WAPENDANAO (VALENTINE'S DAY) NA LIVE MUSIC KUTOKA SKYLIGHT BAND IJUMAA HII‏

Hii ni moja ya Live Performance ya Wimbo wa John Legenda wa All on Me ulioimbwa na Sam Mapenzi wa Skylight Band. Sam Mapenzi a.k.a Asali ya warembo akiimba kibao cha John Legend kinachobamba duniani kote kinachofahamika kama "All on Me" kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Msimu wa pili wa tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’ wazinduliwa Dar

Msimu wa pili wa Tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’, leo umezinduliwa jijini Dar es Salaam ambapo utaanza kuoneshwa rasmi Jumapili, December 7 katika vituo mbalimbali vya runinga. Mtayarishaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi, Louise Kamin akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya ukumbi wa Hadees Fast Food uliopo Posta […]

 

10 years ago

Vijimambo

VALENTINE'S DAY NORTH CAROLINA KATIKA PICHA

Umoja wa Watanzania North Carolina unatoa shukrani kwa wanajumuiya waliofanikisha UTNC Valentine’s day A Tribute to Love Fundraising Dinner. Tunashukuru wote walioweza kuja na walioshindwa kuja kutokana na sababu mbalimbali.
(Photos by Lucas Mmanywa)Mwenyekiti Anna akifuatilia eventShabani akimpa mkewe zawadi kubwa siku ya valentine 2015Eliud na Mama mwenye nyumba wakeDr. Joshua na wife wake waki celebrateMariam na Husband waki enjoy dancePicha kwa hisani ya http://www.utnc.org/blogKwa picha...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

Picha: Kampeni ya Nipe Fagio yasherehekea Valentine’s Day kwa kusafisha fukwe za Msasani

Kampeni ya Nipe Fagio iliitumia weekend ya Valentine’s Day kusafisha fukwe za Msasani jijini Dar es Salaam. Wiista, Kiche na Mswati “Siku hiyo ya Valentines tulikusanya magunia ya uchafu 112 kwa kushirikiana na wananchi wa Msasani wakiongozwa na mwenyekiti wao Mr. Seif Soud Seif kwa kushirikiana na Nipe Fagio pamoja na Archipelago Productions,” amesema Ben […]

 

11 years ago

GPL

BIG BON WASHEREHEKEA VALENTINE'S DAY KWA KUTOA ZAWADI KWA WATEJA WAO

Wafanyakazi wa kituo cha kuuza mafuta cha Big Bon kilichopo Sinza-Mori jijini Dar es Salaam wakipozi huku wakiwa na zawadi za Valentine's kwa ajili ya wateja wao. Mmoja wa wafanyakazi wa Big Bon akimpatia mteja zawadi kwa ajili ya Siku ya Wapendanao.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani