Picha: Msimu wa pili wa tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’ wazinduliwa Dar
Msimu wa pili wa Tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’, leo umezinduliwa jijini Dar es Salaam ambapo utaanza kuoneshwa rasmi Jumapili, December 7 katika vituo mbalimbali vya runinga. Mtayarishaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi, Louise Kamin akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya ukumbi wa Hadees Fast Food uliopo Posta […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi wazinduliwa
Na Mwandishi Wetu
Msimu wa pili wa tamthilia ya Siri ya Mtungi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uIwpp9KqUYU/VH2hFkXI9TI/AAAAAAAG0wg/tnm8I_5UyD4/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi Wazinduliwa, kuonekana TBC
9 years ago
Bongo522 Sep
Msimu wa pili wa tamthilia ya Empire kuanza kesho
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AdRS0-s5HGM/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies17 Feb
PICHA:Waigizaji wa Siri ya Mtungi na mashabiki wao walivyosherekea siku ya wapendanao " VALENTINE DAY"
Kila mtu anakumbuka kivyake VALENTINE yake ilivyoenda yani, mashabiki wa tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’ walipata nafasi ya kuenjoy na mastaa wanaoonekana kwenye tamthilia hiyo, Cheche pamoja na Cheusi.
Fans hao walipatikana kwenye shindano lililofanywa kwenye kurasa za Siri ya Mtungi kwenye Facebook, Instagram na Twitter, kazi ilikuwa rahisi tu, kuwashawishi wasanii hao kwa kutuma nyimbo, picha na video.
Walioshinda ni wawili, Wery Kuli na Nargis Swizzan.
Walienjoy pamoja chakula cha...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s72-c/kili_awards2.jpg)
MSIMU WA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s1600/kili_awards2.jpg)
Mkutano na wana habari za michezo na burudani kutoka vyombo mbali mbali ndio umezindua msimu huu katika hoteli ya Kebby’s ilioko maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam. Viongozi wa BASATA pamoja na wa bia ya Kilimanjaro walizungumzia mabadiliko chanya katika mchakato wa mwaka huu ikiwa ni juhudi na hatua za...
10 years ago
Bongo513 Dec
Picha: Mgahawa mpya ‘VVK’ wa Khadija Mwanamboka wazinduliwa jijini Dar
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-K50jvlvIKg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/86mnqHV-Afc/default.jpg)