Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi Wazinduliwa, kuonekana TBC

Msimu wa pili wa tamthilia ya Siri ya Mtungi itazinduliwa rasmi Desemba 7 kupitia televisheni ya Taifa (TBC). Akizungumza jijini leo mtayarishaji wa tamthilia hiyo, Louise Kamin kutoka Shirika Lisilo la Kiserikali la Media for Development International Tanzania (MFDI-TZ) alisema kuwa sehemu ya pili ya tamthilia hii inakamilisha Siri ya Mtungi kufuatia msisimko mkubwa wa msimu wa kwanza. Kamin alisema kuwa kukamilika kwa hatua ya pili kunatokana na udhamini mnono wa the John Hopkins...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi wazinduliwa

1

Mtayarishaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi  Louise Kamin kutoka  Shirika Lisilo la Kiserikali la  Media for Development International Tanzania (MFDI-TZ) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na msimu wa pili na wa mwisho wa tamthilia hiyo. Kutoka kulia kwa Kamin ni Karabani (Muongozaji), Cheche (Muigizaji), Jordan Riber (Muongozaji). Kutoka kushoto ni Goldliver Gordian (cheusi) na David Michael (Duma).

Na Mwandishi Wetu

Msimu wa pili wa tamthilia ya Siri ya Mtungi...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Msimu wa pili wa tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’ wazinduliwa Dar

Msimu wa pili wa Tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’, leo umezinduliwa jijini Dar es Salaam ambapo utaanza kuoneshwa rasmi Jumapili, December 7 katika vituo mbalimbali vya runinga. Mtayarishaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi, Louise Kamin akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya ukumbi wa Hadees Fast Food uliopo Posta […]

 

9 years ago

Bongo5

Msimu wa pili wa tamthilia ya Empire kuanza kesho

Mifarakano ya kifamilia, mapenzi na harakati za kushika hatamu ziliifanya tamthilia ya hip hop ya Empire kuangaliwa zaidi kwenye kituo cha runinga cha Fox mwaka huu. Na sasa watazamaji wategemee uhondo zaidi kwenye msimu wa pili. “Kama msimu wa kwanza ulijengwa kwenye mazingira ya nani atarithi kitu cha enzi, msimu wa pili ni falme zenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kutayarisha na kuonekana kwenye tamthilia ya maisha yake

Nicki Minaj anatarajiwa kuwa mtayarishaji mkuu wa tamthilia mpya kupitia ABC Family itakayoangaza maisha ya rapper huyo alivyokulia kwenye viunga vya Queens, New York. Mradi huo kutoka Kapital Entertainment, utatengeneza episode ya kwanza mwaka huu. Tamthilia hiyo inaandikwa na Kate Angelo (Sex Tape), na itaangaza maisha ya Minaj aliyekulia Queens miaka ya 1990 pamoja na […]

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MSIMU WA KTMA 2015 WAZINDULIWA RASMI

Meneja Udhamini wa TBL, George Kavishe, akizungumzia moja ya vipengele vipya vilivyofanyiwa maboresho kwenye tuzo hizo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani