Fahamu mambo 10 muhimu ya Baraza la Dk Magufuli
Desemba 10 mwaka huu, Rais John Magufuli alitangaza Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano ambalo lina jumla ya mawaziri 34, ingawa bado hajatangaza majina manne. Tunatumia fursa hii kujadili mambo kumi muhimu yanayoambatana na baraza lake pamoja na utaratibu wa utangazaji kwa ujumla.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLFAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU VVU/ UKIMWI
Wiki hii tunachambua Virusi vya Ukimwi (VVU) na ugonjwa wenyewe, tutaangalia hatua kwa hatua hadi mgonjwa anaonekana kuwa ana Ukosefu wa Kinga Mwilini (Ukimwi). Ili mtu ajulikane kuwa ana VVU /Ukimwi, atapitia hatua nne za lazima kama nitakavyoziainisha.
Hatua ya kwanza hujulikana kitaalam kama Primary HIV Infection ambapo mgonjwa hudumu nayo kwa wiki nne baada ya maambukizi. Watu walio katika maambuki katika hatua hii ni...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Dk Magufuli atajiwa mambo muhimu ya kuzingatia kwenye utawala wake
Wakati Rais John Magufuli akianza kuchukua hatua za kudhibiti matumizi ya Serikali, wasomi na wanasiasa wamemtajia mambo 14 ambayo wamesema akiyazingatia atalinusuru Taifa dhidi ya gharama zisizo za lazima.
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Katibu Mkuu wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo kabla ya kufungua mkutano wa siku moja wa baraza hilo unaofanyika katika Ukumbi wa Jeshi la Magereza, Ukonga, jijini Dar es Salaam. Wapili kushoto meza kuu ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, John Mngodo, kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE) tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Obeid Mbaga. Wapili kulia ni Katibu wa...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Uwiano ni muhimu Baraza la Mawaziri
SIKU chache zilizopita, nilikuwa na mjadala mrefu na mmoja wa mawaziri wa serikali ya Rais John M
Ezekiel Kamwaga
5 years ago
MichuziFAHAMU KUHUSU PROGRAMU YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARAZA LA AFRIKA NA FAIDA ZAKE KWA TAIFA
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Ndaki ya Sayansi na Elimu Kampasi ya Solomon Mahlangu Prof. Allen Malisa (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa kuhusu makaburi ya wapigania uhuru wa Afrika Kusini yaliyopo Kampasi ya Solomon Mahlangu Mazibu mkoani Morogoro.
………………………………………………
Na Anitha Jonas – WHUSM
Dar es Salaam.
Katika historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika,Tanzania baada ya kupata uhuru ndiyo nchi iliyosimamia...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mambo 20 muhimu kuhusu Kombe la Dunia
1 — Mechi zote za Kombe la Dunia 1930 nchini Uruguay
zilichezwa kwenye jiji moja: Montevideo.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Siku ya Wapendanao; mambo muhimu ya kuyafahamu
>Nchini Italia wakati huo kulikuwa na kiongozi aliyeitwa Mfalme Claudius II; aliamini kuwa askari anapooa hawi mkakamavu na pia muda mwingi anawaza kuhusu familia yake zaidi ya kitu kingine chochote. Hivyo alipiga marufuku ndoa kwa askari.
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Mambo muhimu ya uchunguzi afya ya mwanaume
Kupima afya ni muhimu kwa wanaume, hata kama hawana dalili za magonjwa. Madaktari bingwa wa magonjwa ya tiba wanapendekeza wanaume wafanyiwe uchunguzi wa afya kila mwaka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania