JK azindua kituo cha Azam TV, ataka kuboreshwa kwa maslahi ya waandishi wa habari
Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuwajengea uwezo waandishi wa habari kwa kuwapatia mafunzo kila mara, pamoja na kuboresha maslahi yao kwani wakishindwa kuwalipa vizuri, waandishi hao watalipwa na watu wa mitaani jambo ambalo linaweza kupunguza weledi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QFZtM12iNiAE3SrZjhv75Ao4FxbkbhLj6WezR7-wBBGgJ3npxwsnzaRUFT*ucwkzRR-2Pz5K1unWvxvXHVQw2arz5ll-F7oU/1.jpg)
KIKWETE AZINDUA RASMI KITUO CHA AZAM TV
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cVA_eGxkaTI/XmIZBRIc4mI/AAAAAAALhcQ/Fa6r8UIXDfU-76SXp4kPZjGV8_HyGJYrwCLcBGAsYHQ/s72-c/8d01c21b-2702-4345-97e3-a1feab003e43.jpg)
KITUO CHA HABARI, AMANI NA USALAMA BARANI AFRIKA(CIPSA) KIMEWAHIMIZA WATANZANIA KUTUMIA HABARI NA TAKWIMU SAHIHI KWA MAEDELEO
KATIKA kuelekea Siku ya Data wazi Duniani, Asasi ya Kituo cha Habari, Amani na Usalama Barani Afrika(CIPSA) umetoa mwito kwa raia kuendelea utamaduni wa kufuatilia habari sahihi na uwazi ili kuwasaidia katika kusukuma maendeleo yao ya kibinafsi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo hii katika kile alichokiita wiki ya uhamasishaji kupata habari sahihi kuhusu maendeleo yao kuelekea kilele cha siku ya data wazi duniani Machi 7 mwaka huu, Mkurugenzi wa...
11 years ago
Habarileo12 Feb
Maslahi ya mahakimu, majaji kuboreshwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuboresha maslahi ya majaji na mahakimu. Aidha, imetaka wawe waadilifu na wasimamie haki katika kazi zao ili wananchi wajenge matumaini kwao.
10 years ago
MichuziBALOZI WA FINLAND NCHINI TANZANIA AZINDUA KITUO CHA MSAADA KWA WAHANGA WA UKATILI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s72-c/2.jpg)
KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fa5_n9_MOso/VbjFqqe6J3I/AAAAAAAC9DU/P_FbShviPM0/s640/3.jpg)
10 years ago
VijimamboBALOZI WA FINLAND NCHINI TANZANIA ,ANTILA SINIKKA AZINDUA KITUO CHA MSAADA KWA WAHANGA WA UKATILI.
Mkurugenzi wa Shirika linalotoa msaada wa kisheria na elimu ya haki za binadamu mkoani Kilimanjaro(KWIECO) akimpokea Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka aliyefika kwa ajili ya uzinduzi wa kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia.
Watoa ushauri wa shirika linalotoa msaada wa kisheria na elimu ya haki za binadamu mkoani Kilimanjaro(KWIECO)wakiimba wakati wa ufunguzi wa kituo hicho.
Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akifurahia jambo mara wakati akitembelea...
9 years ago
Vijimambo02 Sep
UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25
![](https://fbcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-0/p206x206/11051210_912080395509439_5714058352690894029_n.jpg?oh=e66a17a0012cd76d268bf8b7c226d3ea&oe=56ABE6ED&__gda__=1451464971_71e7e2b7f6402c1f843658bd47b2daf1)
Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...
10 years ago
Michuzi13 Nov
WAZIRI WA AFYA DKT SEIF RASHID AZINDUA KONGAMANO LA TISA LA NHIF NA WAANDISHI WA HABARI MKOANI DODOMA LEO.
![](https://4.bp.blogspot.com/-Kv8hM3kigJw/VGTPmsdDGAI/AAAAAAACuuw/XavUXIIgdu0/s640/IMG_7807.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vE9LjkJZf-U/VGS3UbqImhI/AAAAAAACuuI/SWXZgJePy7s/s1600/IMG_7845.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XxH90HUjBM/VGTNkchG03I/AAAAAAACuuk/Xt1k-xcdCsg/s640/IMG_7784.jpg)