Huduma za afya Z’bar kuboreshwa
WIZARA ya Afya Zanzibar imeeleza azma yake ya kuendelea kuhakikisha kwamba wananchi wa Zanzibar wanapata huduma bora za kinga na tiba bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-R6K-bsz-QWo/XqplU5bEuOI/AAAAAAAA_sw/-h_0smDcurIGHeq0O8wn-Po-3bTRTcnPACNcBGAsYHQ/s72-c/zff.jpg)
KANUNI LIGI KUU Z'BAR KUBORESHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R6K-bsz-QWo/XqplU5bEuOI/AAAAAAAA_sw/-h_0smDcurIGHeq0O8wn-Po-3bTRTcnPACNcBGAsYHQ/s400/zff.jpg)
Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Mashindano wa ZFF, Ali Mohammed Ameir, alisema katika mchakato huo wameanza na zoezi la kupokea maoni kutoka kwa wadau wa soka wa visiwani hapa ili kupatikana kwa kanuni mpya za mashindano.
Ameir alisema kila mtu anayo fursa ya kutoa maoni juu ya kanuni ya kuendesha mashindano kwa msimu wa mwaka...
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
Dk. Sheni ataka kuboreshwa uchunguzi wa afya
NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amezitaka nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Bara la Afrika kuimarisha huduma za maabara na utoaji wa elimu na uchunguzi wa maradhi ‘pathologia’.
Aliyasema hayo jana katika ukumbi wa Mikutano wa Afrika Mashariki, mjini Arusha, wakati akifungua Mkutano wa 12 wa Jumuiya ya APECSA kutoka Kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa bara la Afrika.
Mkutano huo ambao hufanyika kila baada ya miaka miwili, kwa mwaka huu pia ulijumuisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s640/001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/002.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/003.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Jun
Bajeti Wizara ya Afya Z'bar kupitiwa tena
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi watapitia tena vifungu vya bajeti ya Wizara ya Afya ambayo ilikwama mwishoni mwa wiki, baada ya wajumbe wengi kutoridhishwa na mgawanyo wa fedha katika maeneo muhimu.
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Huduma za mifuko ya Afya TZ