Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PIRAMIDI YA AFYA: Ufanye nini endapo tiba ya ugumba imeshindikana?

>Juma lililopita tuliweza kuona matibabu ya jumla ya tatizo la ugumba kwa wanaume, leo nitahitimisha mfululizo wa makala hizi kwa kumalizia na ushauri utakaolenga nini chakufanya pale tatizo hilo linaposhindikana kupona.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Uchunguzi wa ugumba kwa wanaume

>Juma lililopita tuliweza kuona sababu mbalimbali zinazochangia ugumba kwa wanaume, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya uchunguzi na matibabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ufanye nini kabla haujashika ujauzito?

BAADA ya kufanya maandalizi ambayo tumeyaelelezea katika mfululizo wa makala zilizopita, usichukue hatua ya kushika ujauzito kabla hujafikiria suala hilo sawasawa. Kuna mambo mengine ya msingi kama 17 hivi unayopaswa...

 

9 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Matatizo ya mfumo wa mkojo

Baada ya kumaliza mfululizo wa makala ya udogo wa maumbile ya uume, leo nawaletea mada nyingine kuhusu matatizo ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo unaundwa na figo mbili, mirija miwili inayotoa mkojo katika figo kwenda katika kibofu, ijulikanayo kama ureta.

 

9 years ago

Michuzi

NINI UFANYE HATI YA NYUMBA INAPOHARIBIKA/IKICHAKAA.

Hati  kwa  maana  ya  hapa   ni  hati  za  nyumba  na  viwanja,  kwa  ufupi  ni  hati  za  ardhi. Kwakuwa  hati  ni  karatasi  sawa  na  karatasi  nyingine  basi   huweza   kuharibka  au  kuchakaa.  Huweza  kuchakaa  kwasababu  mbalimbali    za  kibinadamu Inaweza  kunyeshewa na  mvua  au  kumwagikiwa  na  maji  kwa  namna  yoyote  ile,  inaweza  kuungua  moto  na  wakati  mwingine   inaweza  kuharibika  kutokana  na  majanga  ya  ajali  za  barabarani n.k.  Muhimu  ni  kujua  tu  kuwa ...

 

10 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Ugonjwa wa mafindofindo kwa watoto

>Kumekuwa na uelewa  mdogo wa suala la vidonda vya koo maarufu kama mafindofindo katika jamii zetu.

 

9 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya

Leo tutaona njia maarufu ambazo zipo katika matangazo mbalimbali ikiwamo magazeti, mabango ya matabibu wa kienyeji, mitandaoni pamoja na zile zilizoshindwa kukidhi vigezo vya kutumika na kuingizwa katika miongozo ya matibabu ya Shirika la Afya Duniani (WHO).

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NINI UFANYE KISHERIA UNAPOHISI MWENZAKO KATIKA NDOA ANATAKA KUUZA NYUMBA/KIWANJA BILA RIDHAA YAKO

NA  BASHIR  YAKUB-
Upo wakati kwenye  ndoa ambapo mmoja  wanandoa  anaweza akawa anataka  kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja  bila ridhaa ya mwenzake ilihali  nyumba  hiyo  ni ya  familia. Lakini  pia  nje ya  hilo kuna  mazingira  ambayo  mtu anaweza  kuwa  si  mwanandoa lakini ana maslahi  katika  nyumba au  kiwanja cha mtu fulani  na anataka  kuzuia  nyumba/ kiwanja  hicho  kisibadilishwe  jina au kisiuzwe.  Kisheria jambo hilo linaruhusiwa  na huitwa zuio( Caveat).
Hili sio zuio la...

 

9 years ago

Mwananchi

Wizara ya Afya yataka nyaraka za watoa tiba asili

Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka watoa huduma za tiba asili na tiba mbadala nchini kote kuhakikisha wanawasilisha, katika muda wa siku 14 kuanzia jana, nyaraka zote muhimu kuhusu huduma zao.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA AFYA APOKEA VIFAA VYA TIBA KUTOKA MISRI

 …Akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Balozi Hossam Moharam akiwa kwenye hafla hiyo. Waziri wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani