Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufanye nini kabla haujashika ujauzito?

BAADA ya kufanya maandalizi ambayo tumeyaelelezea katika mfululizo wa makala zilizopita, usichukue hatua ya kushika ujauzito kabla hujafikiria suala hilo sawasawa. Kuna mambo mengine ya msingi kama 17 hivi unayopaswa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NINI UFANYE HATI YA NYUMBA INAPOHARIBIKA/IKICHAKAA.

Hati  kwa  maana  ya  hapa   ni  hati  za  nyumba  na  viwanja,  kwa  ufupi  ni  hati  za  ardhi. Kwakuwa  hati  ni  karatasi  sawa  na  karatasi  nyingine  basi   huweza   kuharibka  au  kuchakaa.  Huweza  kuchakaa  kwasababu  mbalimbali    za  kibinadamu Inaweza  kunyeshewa na  mvua  au  kumwagikiwa  na  maji  kwa  namna  yoyote  ile,  inaweza  kuungua  moto  na  wakati  mwingine   inaweza  kuharibika  kutokana  na  majanga  ya  ajali  za  barabarani n.k.  Muhimu  ni  kujua  tu  kuwa ...

 

10 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Ufanye nini endapo tiba ya ugumba imeshindikana?

>Juma lililopita tuliweza kuona matibabu ya jumla ya tatizo la ugumba kwa wanaume, leo nitahitimisha mfululizo wa makala hizi kwa kumalizia na ushauri utakaolenga nini chakufanya pale tatizo hilo linaposhindikana kupona.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NINI UFANYE KISHERIA UNAPOHISI MWENZAKO KATIKA NDOA ANATAKA KUUZA NYUMBA/KIWANJA BILA RIDHAA YAKO

NA  BASHIR  YAKUB-
Upo wakati kwenye  ndoa ambapo mmoja  wanandoa  anaweza akawa anataka  kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja  bila ridhaa ya mwenzake ilihali  nyumba  hiyo  ni ya  familia. Lakini  pia  nje ya  hilo kuna  mazingira  ambayo  mtu anaweza  kuwa  si  mwanandoa lakini ana maslahi  katika  nyumba au  kiwanja cha mtu fulani  na anataka  kuzuia  nyumba/ kiwanja  hicho  kisibadilishwe  jina au kisiuzwe.  Kisheria jambo hilo linaruhusiwa  na huitwa zuio( Caveat).
Hili sio zuio la...

 

10 years ago

Mwananchi

Jiulize kwanza umefanya nini kabla ya kulaumu

Natumaini ndugu zangu wa darasa huru ni wazima wa afya. Kama ni hivyo basi naomba wote tumshukuru Mungu kwa baraka zake kwetu kwani kuna wengi waliopenda hata kufungua kinywa na kutoa salamu siku hii ya leo lakini wameshindwa. Tuwaombee wapate nafuu ili waweze kuwa na afya njema tena.

 

9 years ago

Mwananchi

Kwa nini baadhi ya wanawake hukoma hedhi kabla ya umri

Tumepokea maswali mengi juu ya suala la kukoma hedhi ghafla, leo tutajibu swali hili.

 

10 years ago

GPL

KABLA YA KUANZISHA UHUSIANO MPYA, JIULIZE KWA NINI UMEACHWA?

Tumshukuru sana Mungu kwa kutujalia afya njema na kutukutanisha tena hapa kwenye XXLove kujadili na kupeana elimu ya uhusiano. Wiki iliyopita tulijadili kuhusu kuachana na kuanza kuchukiana au kuwekeana visasi. Mada ya leo inahusu kukurupuka na kuanzisha uhusiano mpya baada ya kuachwa.Si jambo jema, unapaswa kujiuliza umeachwa kwa sababu gani? Ili hata kama ukiamua kuanzisha uhusiano mpya ujue ni mpenzi wa aina gani anakufaa?...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford:Ungetamani Kuniambia Nini Kabla Mwaka Huu Kuisha

Ikiwa zimebaki siku chache kuumaliza mwaka 2014.Muigizaji  wa filamu Shamsa  Ford anaetamba mwaka huu kwenye filamu ya CHAUSIKU, amewataka mashabiki wake na wapenzi wa filamu hapa nchini wamshauri chochote kuhusiana na kazi  zake na maisha yake ya sanaa kwa ujumla.

 Shamsa  ambae ni mama wa mtoto mmoja, aliweka picha yake nakuandika;

“Ni kitu gani ungetamani kuniambia kabla ya huu mwaka KUISHA”

Jina la Shamsa Ford, lilijitokeza sana mwaka huu kwenye magazeti ya udaku na mitandaoni baada ya...

 

9 years ago

GPL

URAHISI WA WEWE KUSALITIWA NA KIPI UFANYE KUEPUKA!

Hakika mapenzi ni imani, yaani kuamini kwamba uliyenaye anakupenda hata kama ukweli unaweza usiwe hivyo. Wengi walio na wapenzi wanajiaminisha kwamba wanavyowapenda wenza wao ndivyo wanavyopendwa. Pia wapo ambao wanaamini kwamba eti kwa namna wanavyoonesha mapenzi yao, hata kwa dawa hawawezi kusalitiwa. Utamsikia mwanamke akisema; ‘bwana wangu mimi kwangu hapindui, ananipenda sana na hawezi kunisaliti’. Mtu anayesema maneno...

 

11 years ago

Mwananchi

Ufanye mazoezi yapi kipindi cha mapumziko

Watu wengi kipindi hiki huwa wanajisahau kutokana na kuwa na mialiko mingi na ndiyo maana wataalamu wa masuala ya mazoezi wanashauri kufanya yale ambayo yanaendana na kipindi hiki ambayo ni pamoja na kutembea:

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani