Jiulize kwanza umefanya nini kabla ya kulaumu
Natumaini ndugu zangu wa darasa huru ni wazima wa afya. Kama ni hivyo basi naomba wote tumshukuru Mungu kwa baraka zake kwetu kwani kuna wengi waliopenda hata kufungua kinywa na kutoa salamu siku hii ya leo lakini wameshindwa. Tuwaombee wapate nafuu ili waweze kuwa na afya njema tena.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKABLA YA KUANZISHA UHUSIANO MPYA, JIULIZE KWA NINI UMEACHWA?
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Ufanye nini kabla haujashika ujauzito?
BAADA ya kufanya maandalizi ambayo tumeyaelelezea katika mfululizo wa makala zilizopita, usichukue hatua ya kushika ujauzito kabla hujafikiria suala hilo sawasawa. Kuna mambo mengine ya msingi kama 17 hivi unayopaswa...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Kwa nini baadhi ya wanawake hukoma hedhi kabla ya umri
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Shamsa Ford:Ungetamani Kuniambia Nini Kabla Mwaka Huu Kuisha
Ikiwa zimebaki siku chache kuumaliza mwaka 2014.Muigizaji wa filamu Shamsa Ford anaetamba mwaka huu kwenye filamu ya CHAUSIKU, amewataka mashabiki wake na wapenzi wa filamu hapa nchini wamshauri chochote kuhusiana na kazi zake na maisha yake ya sanaa kwa ujumla.
Shamsa ambae ni mama wa mtoto mmoja, aliweka picha yake nakuandika;
“Ni kitu gani ungetamani kuniambia kabla ya huu mwaka KUISHA”
Jina la Shamsa Ford, lilijitokeza sana mwaka huu kwenye magazeti ya udaku na mitandaoni baada ya...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Kwa nini UKAWA na si Tanzania Kwanza?
WAKATI mchakato wa Katiba mpya ukiendelea na safari yake kupitia kwenye vikwazo vinavyowekwa makusudi na wenye hila, ambao hata hivyo hawawezi kufafanua sababu za kufanya hivyo wakaeleweka, wapo wananchi wanaojiuliza...
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Harakati za kuadhimisha Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia zinatufunza nini? -2
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Harakati za kuadhimisha Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia zinatufunza nini? -1
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)
Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]
The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo503 Nov
Video: Trailer ya kwanza ya Furious 7 yaonesha scenes za mwisho za Paul Walker kabla hajafariki kwa ajali