Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini UKAWA na si Tanzania Kwanza?

WAKATI mchakato wa Katiba mpya ukiendelea na safari yake kupitia kwenye vikwazo vinavyowekwa makusudi na wenye hila, ambao hata hivyo hawawezi kufafanua sababu za kufanya hivyo wakaeleweka, wapo wananchi wanaojiuliza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Matapeli waibukia Tanzania Kwanza, Ukawa

Askari kanzu wa Mkoa wa Dodoma wakiwa wamemkamata mtuhumiwa wa utapeli, John Thompson (mwenye suti), anayedaiwa kutapeli fedha za kukodisha  ukumbi kwa ajili ya kuandaa mkutano wa maridhiano kati ya kundi la Tanzania Kwanza na Ukawa katika Ukumbi wa Dodoma Hoteli jana. Picha na Fidelis Felix.

Askari kanzu wa Mkoa wa Dodoma wakiwa wamemkamata mtuhumiwa wa utapeli, John Thompson (mwenye suti), anayedaiwa kutapeli fedha za kukodisha ukumbi kwa ajili ya kuandaa mkutano wa maridhiano kati ya kundi la Tanzania Kwanza na Ukawa katika Ukumbi wa Dodoma Hoteli jana. Picha na Fidelis Felix.

NA FREDY AZZAH, DODOMA

MKUTANO uliotangazwa kwa mbwembwe wa kukutanisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wale wa Tanzania Kwanza, umeyeyuka kiaina huku mwandaaji akilalama kutapeliwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kwanza walaani Ukawa kususa

Kundi la Tanzania Kwanza linaloundwa na baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba limelaani hatua ya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kususia vikao vya Bunge hilo linaloendelea mjini hapa.

 

11 years ago

TheCitizen

Ukawa, Tanzania Kwanza blamed for CA problems

>The Council of Political Parties is now blaming the existence of informal groups within the Constituent Assembly (CA) on the repeated chaos rocking the House.

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania Kwanza and Ukawa activism faulted

Two members of the Constituent Assembly (CA) plan to embark on campaigns meant to convince members of the public to reject activism by Ukawa and Tanzania Kwanza outsde the CA.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hofu ya CCM kwa UKAWA ni nini?

WAHENGA hawakukosea waliposema “Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.” Ni nasaha inayotukumbusha umuhimu wa kushirikiana na binadamu wenzetu maishani katika mambo  tufanyayo. Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni muungano...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini Ukawa inatumia hoja ya mfumo?

VIONGOZI wa vyama vinavyounda Ukawa kwa makusudi na kwa malengo maalumu wameamua kubadili mtazamo

Mwandishi Wetu

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Nini mustakabali wa upinzani baada ya 'kifo' cha UKAWA?

Je, hatima ya uliokuwa muungano wa vyama vya upinzani UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) 'ulishazikwa rasmi'.

 

11 years ago

IPPmedia

Council of Political Parties: Tanzania Kwanza, UKAWA disrupting CA meetings


IPPmedia
Council of Political Parties: Tanzania Kwanza, UKAWA disrupting CA meetings
IPPmedia
Two recently formed coalitions in the Constituent Assembly (CA) have been strongly refuted by the Council of Political Parties which alleges they are not formal and interrupt the ongoing second draft review sessions. Speaking to journalists yesterday in the ...
Katiba assembly groups deemed divisiveDaily News

all 3

 

10 years ago

Dewji Blog

URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla

5edcc9e9

Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.

Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani