PIRAMIDI YA AFYA: Ugonjwa wa mafindofindo kwa watoto
>Kumekuwa na uelewa mdogo wa suala la vidonda vya koo maarufu kama mafindofindo katika jamii zetu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 May
PIRAMIDI YA AFYA: Uchunguzi wa ugumba kwa wanaume
>Juma lililopita tuliweza kuona sababu mbalimbali zinazochangia ugumba kwa wanaume, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya uchunguzi na matibabu.
9 years ago
Mwananchi11 Sep
PIRAMIDI YA AFYA: Matatizo ya mfumo wa mkojo
Baada ya kumaliza mfululizo wa makala ya udogo wa maumbile ya uume, leo nawaletea mada nyingine kuhusu matatizo ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo unaundwa na figo mbili, mirija miwili inayotoa mkojo katika figo kwenda katika kibofu, ijulikanayo kama ureta.
9 years ago
Mwananchi14 Aug
PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya
Leo tutaona njia maarufu ambazo zipo katika matangazo mbalimbali ikiwamo magazeti, mabango ya matabibu wa kienyeji, mitandaoni pamoja na zile zilizoshindwa kukidhi vigezo vya kutumika na kuingizwa katika miongozo ya matibabu ya Shirika la Afya Duniani (WHO).
10 years ago
Mwananchi10 Jul
PIRAMIDI YA AFYA: Ufanye nini endapo tiba ya ugumba imeshindikana?
>Juma lililopita tuliweza kuona matibabu ya jumla ya tatizo la ugumba kwa wanaume, leo nitahitimisha mfululizo wa makala hizi kwa kumalizia na ushauri utakaolenga nini chakufanya pale tatizo hilo linaposhindikana kupona.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lcGlJrzAbX6WZNcM-Jb3y-NHNzw59dlPLV56zWWfLsBx*KuxrGhODwqTdzWIFcWMDN1Up0QBD*LMOrBrDFk4PPY/MDF2828615042013160436655.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-3
Kitaalamu dawa za kutibu saratani hii imegawanyika katika makundi mawili ipo iitwayo Vincristin, ya pili ni Methotrexate na dawa nyingine inayofahamika kama Cytarabin. Dawa nyingine ambayo ni muhimu sana huitwa Cyclophosphamide. Daktari akimuona mgonjwa anaweza kumpa dawa kwa kupitia njia ya mishipa ya damu pia ipo dawa ambayo mgonjwa hupewa kupitia uti wa mgongo. Kundi la pili la dawa zinazotumika kutibu saratani hii lina dawa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0KB6rdN5ALgKlzyv3s8Ug4kcRrIxbAxvhtIa5tETwf9lHUV5FLd5fFdHR6ei0DCatP6nIV5exwmwM0UpgLpgzV-/Emilia3.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO
Saratani au kansa zipo za aina nyingi lakini leo tutachambua ya watoto ambayo kitaalamu inaitwa Non Hodgkin’s Lymhona na huwapata watoto wadogo wenye umri kati ya miaka mitatu na tisa. Saratani hii hujitokeza kutoka kwenye mfumo wa damu inayohusika na kinga ya mwili yaani Lymphatic system kwa kitaalamu na mara nyingi hushambulia tezi zinazoshughulika na kinga ya mwili wa mtoto na huweza kusababisha kifo. MAENEO...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yi0TCIBaEFV02KLXapZbHeNe6I*o-ohoGDYNioUjLVASZPmLa*Lj*H1xNtrOoAM-luAbXb0vCAO6*LQPMIbXxitpdFEkp88k/Emilia3.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-2
Mtoto anaweza kupatwa maradhi haya kwa kurithi kutoka katika familia aliyozaliwa kama vile wazazi, mjomba, babu au bibi, mama mdogo na kadhalika. Mtoto pia anaweza kupatwa na saratani hii kutokana na kuugua kila wakati ugonjwa wa malaria ambapo huchangia kupungua kwa kinga mwilini.Sababu nyingine ni mashambulio ya virusi vinavyoitwa kwa kitaalamu ‘Lymphic System’. Virusi hivyo hushambulia mfumo wa damu na kusababisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEUkfsDqxCmKz7lh0lmAF0NeaDCjegKXqwqOzg0kpeXzXiMFprUDPC-07HLfoxY1cv812JKOMUVYYLImi-7Fcywx/23jfigure.jpg?width=650)
UGONJWA WA TUNDU KATIKA MOYO KWA WATOTO-2
MADHARA YA TUNDU KATIKA MOYO
Madhara ambayo yanaweza kusababishwa na tundu katika kuta za chini za moyo ni Eisenmenger syndrome, hali ambayo hutokea pia pale mtu anapokuwa na tundu katika kuta za juu za moyo.
Tatizo hili hutokea wakati mtiririko wa damu unapoongezeka kutoka kushoto kwenda kulia kupitia tundu katika kuta za moyo, suala ambalo huongeza mtiririko wa damu katika mishipa ya mapafu na kusababisha shinikizo la damu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0020.jpg)
DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0020.jpg)
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania