Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Unyonge CCM basi

>Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Rais Jakaya Kikwete amewataka wanachama wa chama hicho kuacha unyonge na kusema uvumilivu una kikomo chake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kuanzia sasa unyonge basi. Inatisha!

Wengi tulishangazwa na hatukuamini tuliposikia kauli ya Baba Mkuu pale alipowaambia CCM kuwa sasa unyonge basi.

 

10 years ago

Mwananchi

Acha unyonge, jiongeze tuyajenge

Baba yenu nilikuwa livu. Siku mbili tatu, nikawa napimana ubavu na mapapaa wa kitaa changu, mbona walikoma na mimi? Nilijiongeza mpaka wakajua labda nahusika na mambo ya Tegeta Escrow, kumbe mikwara tu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Unyonge wa Liverpool wa miaka 30 EPL wafikia kikomo

Subira vuta kheri - Subira ya liverpool ya miaka 30 ili kushinda kombe la ligi ya England imetimia baada ya klabu ya Manchester City kupoteza 2-1 dhidi ya Chelsea na hivyobasi kuwathibitisha The Reds kuwa mabingwa wapya wa ligi hiyo.

 

11 years ago

CloudsFM

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI LA MORO BEST

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai, 2014 katika eneo la Pandambili, Wilayani Kongwa na kuua watu wapatao 18.

Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.

Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wasipoelewa somo hili basi tuwaache

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na ujeuri wake wote wa kushikilia misimamo hata ile isiyokuwa na tija kwa wananchi, lakini kwa somo hili la muundo wa serikali tatu kinapaswa kuelewa....

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ukiwa na itikadi tafauti na ccm basi wewe ni Adui wao

Watch “21 August 2015″ on YouTube – https://youtu.be/3PnfVjEiVr4 Watch “23 August 2015″ on YouTube – https://youtu.be/PdpXnAaVdfg

The post Ukiwa na itikadi tafauti na ccm basi wewe ni Adui wao appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasaliti na wakaidi CCM sasa basi, asema Kanali Kinana

Chama Cha Mapiduzi (CCM), kimetishia kuwatimua mara moja, wanachama wasaliti na wasiokubali kushindwa wakati wa kura za maoni za kuwania kuteuliwa ili kugombea urais, ubunge na udiwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani