Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuanzia sasa unyonge basi. Inatisha!

Wengi tulishangazwa na hatukuamini tuliposikia kauli ya Baba Mkuu pale alipowaambia CCM kuwa sasa unyonge basi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kikwete: Unyonge CCM basi

>Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Rais Jakaya Kikwete amewataka wanachama wa chama hicho kuacha unyonge na kusema uvumilivu una kikomo chake.

 

10 years ago

GPL

DAR SASA INATISHA SALUNI YA NGONO YAFUMULIWA

Stori: Waandishi wetu/Risasi
HALI ni mbaya! Wakati suala la ajira likiwa bado ni kitendawili kikubwa kwa serikali, Jiji la Dar hivi sasa linatisha, baada ya watu kubuni mtindo mpya wa kujipatia fedha kwa kujihusisha na biashara haramu ya ngono katika maeneo yanayotambulika kufanya shughuli nyingine halali, Risasi Jumamosi lina mkanda mzima. Mhudumu wa saluni ya kuchua akitweta mara baada ya kunaswa na OFM akijihusisha na...

 

9 years ago

Bongo5

Amini: Sitokaa kimya tena kuanzia sasa

Amini Cover Furaha

Amini amewahakikisha mashabiki wake kuwa hatokaa tena kimya kama zamani kuanzia sasa.

Amini Cover Furaha

Hivi karibuni aliachia wimbo wake mpya uitwao Furaha.

“Unajua nashukuru kwanza mashabiki wangu wamepokea vizuri huu ujio wangu na nimefanya interview ile siku ambayo wimbo umetoka mikoa 23 ya Tanzania. Huko nyuma haikuwahi kutokea kwangu. Hii inaonyesha jinsi gani sasa hivi muziki umekuwa. Na sasa hivi nawaahidi mashabiki wangu kuwa sitokaa kimya sana. Itakuwa ni ngoma juu ya ngoma tu,” Amini ameiambia...

 

10 years ago

Mwananchi

Kukaa gizani sasa basi

Siku za kukaa gizani kwa wakazi wa Kijiji cha Uchindile wilayani Kilombero zipo ukingoni baada ya mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati saba utakaotokana na mabaki ya mazao na miti kuzinduliwa na kaya zaidi ya 100 zitanufaika.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Uharibifu wa barabara sasa basi’

Kituo kipya cha mzani cha Vigwaza kilichopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, kitakachoanza kutumika hivi karibuni kinatarajiwa kuwa mwarobaini wa uharibufu wa barabara unaotokana na madereva hasa wa malori kuzidisha mizigo na kupelekea baadhi ya barabara kuharibikia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Aboutrika soka basi sasa!

Klabu ya Al Ahly bado inatumai kuwa itaweza kumshawishi nyota wake Mohamed Aboutrika kuahirisha mipango yake ya kustaafu kwa mara nyingine.

 

9 years ago

Mwananchi

Mikataba wastaafu serikalini sasa basi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema waajiri wasitegemee Serikali kuruhusu kuendelea kutoa mikataba kwa watumishi wanaostaafu wakati mpango wa urithishanaji madaraka upo na watumishi wenye sifa stahiki wapo.     

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani