Aboutrika soka basi sasa!
Klabu ya Al Ahly bado inatumai kuwa itaweza kumshawishi nyota wake Mohamed Aboutrika kuahirisha mipango yake ya kustaafu kwa mara nyingine.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Kukaa gizani sasa basi
Siku za kukaa gizani kwa wakazi wa Kijiji cha Uchindile wilayani Kilombero zipo ukingoni baada ya mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati saba utakaotokana na mabaki ya mazao na miti kuzinduliwa na kaya zaidi ya 100 zitanufaika.
10 years ago
Mwananchi17 Mar
‘Uharibifu wa barabara sasa basi’
Kituo kipya cha mzani cha Vigwaza kilichopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, kitakachoanza kutumika hivi karibuni kinatarajiwa kuwa mwarobaini wa uharibufu wa barabara unaotokana na madereva hasa wa malori kuzidisha mizigo na kupelekea baadhi ya barabara kuharibikia.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Mikataba wastaafu serikalini sasa basi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema waajiri wasitegemee Serikali kuruhusu kuendelea kutoa mikataba kwa watumishi wanaostaafu wakati mpango wa urithishanaji madaraka upo na watumishi wenye sifa stahiki wapo.   Â
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Tukishindwa sasa basi tena- Lowassa
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa amesema kama Watanzania watashindwa kufanya mabadiliko kwa kupiga kura kuing’oa CCM madarakani mwaka huu, hawataweza kufanya hivyo tena, huku akihoji kama vyama tawala mbalimbali katika nchi za bara la Afrika vimeng’oka madarakani: “Kwa nini isiwe CCMâ€.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdP4FBtynqQTMFgUKPGMzgiRJbTL-zPRvFVKb2MQ4HwkBFemX7ktSh9w9k77TP17XeGYhlIIp0sesFg2cutvlMnG/Tiko.jpg?width=650)
TIKO: WAUME ZA WATU SASA BASI!
Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Tiko Hassan amesema ameamua kuachana na tabia ya kuwa kimapenzi na waume za watu kwani ameona wanachosha na uhusiano huo hauna uhuru tofauti na ule wa aliye singo. Msanii wa filamu Bongo, Tiko Hassan. Akipiga stori na paparazi wetu, Tiko alisema ameamua kuachana na uhusiano wa kimapenzi na waume za watu kwani alikuwa na mume wa mtu lakini hakuona faida yoyote zaidi ya kukosa uhuru...
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Kuanzia sasa unyonge basi. Inatisha!
Wengi tulishangazwa na hatukuamini tuliposikia kauli ya Baba Mkuu pale alipowaambia CCM kuwa sasa unyonge basi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HobwrHXn9D0/VGd-CohKN3I/AAAAAAAGxic/jAyTinksJ0o/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
MAUAJI KITETO SASA BASI - SERIKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HobwrHXn9D0/VGd-CohKN3I/AAAAAAAGxic/jAyTinksJ0o/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z9FenSZQuKY/VGd-C_h2SmI/AAAAAAAGxiU/qU1aAYiQiEQ/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Wambura: Sasa imetosha basi
>Siku moja baada ya kuenguliwa kwa mara ya sita kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Simba, Michael Wambura, amesema: “Imetosha, yatosha, sina cha kusema.â€
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Lissu:Kuburuzwa ndani ya Bunge sasa basi
Mbunge wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema kuanzia sasa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hautakubali tena kuburuzwa katika kufikia uamuzi ndani ya bunge hilo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania