Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Uharibifu wa barabara sasa basi’

Kituo kipya cha mzani cha Vigwaza kilichopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, kitakachoanza kutumika hivi karibuni kinatarajiwa kuwa mwarobaini wa uharibufu wa barabara unaotokana na madereva hasa wa malori kuzidisha mizigo na kupelekea baadhi ya barabara kuharibikia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UHARIBIFU WA BARABARA DAR

Gari likiwa limekwama katika moja ya kingo ya barabara ya Morogoro maeneo ya Jangwani. Hii ndiyo kingo ambayo imekuwa ikipandwa na magari mbalimbali, kwa mbali ni gari lililonasa. KAMERA ya GPL  leo imelinasa gari moja maeneo ya Jangwani jijini Dar,  likiwa limenasa katika moja ya kingo za barabara ya Morogoro baada ya kutaka kuruka kingo… ...

 

10 years ago

Habarileo

Tanroads kuchunguza uharibifu wa barabara

WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeunda timu ya wataalamu wake na kushirikiana wenzao wa Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa masuala ya Barabara kutoka nchi ya Afrika Kusini kwa ajili ya kuchunguza kwa kina chanzo za uharibifu wa barabara kuu za lami nchini.

 

5 years ago

Michuzi

UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIMBO LA MKURUNGA WASABABISHA NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA KUTOA MAELEKEZO KWA TARURA

Na Emmanuel Massaka,Michuzi Tv.
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega amefanya ziara katika kata mbilimbali za jimbo hilo kwa lengo la kukagua miundombinu ya barabara ilivyoharibiwa  na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Kutokana na uharibifu huo Ulega amemtaka Meneja wa Wakala wa Ujenzi wa Barabara Vijijini (TARURA) kutafuta namna ya kuhakikisha barabara hizo zinapitika.
Akizungumza hivi karibuni jimboni humo na baadhi ya wananchi...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tunalaani vikali fujo na uhabirifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini.
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.  Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....

 

11 years ago

BBCSwahili

Aboutrika soka basi sasa!

Klabu ya Al Ahly bado inatumai kuwa itaweza kumshawishi nyota wake Mohamed Aboutrika kuahirisha mipango yake ya kustaafu kwa mara nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Kukaa gizani sasa basi

Siku za kukaa gizani kwa wakazi wa Kijiji cha Uchindile wilayani Kilombero zipo ukingoni baada ya mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati saba utakaotokana na mabaki ya mazao na miti kuzinduliwa na kaya zaidi ya 100 zitanufaika.

 

10 years ago

Michuzi

MAUAJI KITETO SASA BASI - SERIKALI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Peter Pinda (Mb) akizungumza na Kamati ya Uongozi ya Bunge leo na kuainisha hatua madhubuti za kuchukuliwa na serikali ili kukomesha mauaji baina ya wakulima na wafugaji yanayoendelea Mkoani Manyara wilaya Kiteto na sehemu nyingine nchini. Wajumba wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakimsikiliza Waziri Mkuu kwa umakini mkubwa alipokuwa akitanabaisha jinsi Serikali isivyopendezwa na mauaji ya Kiteto na jinsi ilivyojipanga kukomesha kabisa...

 

9 years ago

Mwananchi

Tukishindwa sasa basi tena- Lowassa

Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa amesema kama Watanzania watashindwa kufanya mabadiliko kwa kupiga kura kuing’oa CCM madarakani mwaka huu, hawataweza kufanya hivyo tena, huku akihoji kama vyama tawala mbalimbali katika nchi za bara la Afrika vimeng’oka madarakani: “Kwa nini isiwe CCM”.

 

10 years ago

GPL

TIKO: WAUME ZA WATU SASA BASI!

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Tiko Hassan amesema ameamua kuachana na tabia ya kuwa kimapenzi na waume za watu kwani ameona wanachosha na uhusiano huo hauna uhuru tofauti na ule wa aliye singo. Msanii wa filamu Bongo, Tiko Hassan. Akipiga stori na paparazi wetu, Tiko alisema ameamua kuachana na uhusiano wa kimapenzi na waume za watu kwani alikuwa na mume wa mtu lakini hakuona faida yoyote zaidi ya kukosa uhuru...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani