‘Uharibifu wa barabara sasa basi’
Kituo kipya cha mzani cha Vigwaza kilichopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, kitakachoanza kutumika hivi karibuni kinatarajiwa kuwa mwarobaini wa uharibufu wa barabara unaotokana na madereva hasa wa malori kuzidisha mizigo na kupelekea baadhi ya barabara kuharibikia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLUHARIBIFU WA BARABARA DAR
10 years ago
Habarileo12 May
Tanroads kuchunguza uharibifu wa barabara
WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeunda timu ya wataalamu wake na kushirikiana wenzao wa Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa masuala ya Barabara kutoka nchi ya Afrika Kusini kwa ajili ya kuchunguza kwa kina chanzo za uharibifu wa barabara kuu za lami nchini.
5 years ago
MichuziUHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIMBO LA MKURUNGA WASABABISHA NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA KUTOA MAELEKEZO KWA TARURA
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega amefanya ziara katika kata mbilimbali za jimbo hilo kwa lengo la kukagua miundombinu ya barabara ilivyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Kutokana na uharibifu huo Ulega amemtaka Meneja wa Wakala wa Ujenzi wa Barabara Vijijini (TARURA) kutafuta namna ya kuhakikisha barabara hizo zinapitika.
Akizungumza hivi karibuni jimboni humo na baadhi ya wananchi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Aboutrika soka basi sasa!
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Kukaa gizani sasa basi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HobwrHXn9D0/VGd-CohKN3I/AAAAAAAGxic/jAyTinksJ0o/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
MAUAJI KITETO SASA BASI - SERIKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HobwrHXn9D0/VGd-CohKN3I/AAAAAAAGxic/jAyTinksJ0o/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z9FenSZQuKY/VGd-C_h2SmI/AAAAAAAGxiU/qU1aAYiQiEQ/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Tukishindwa sasa basi tena- Lowassa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdP4FBtynqQTMFgUKPGMzgiRJbTL-zPRvFVKb2MQ4HwkBFemX7ktSh9w9k77TP17XeGYhlIIp0sesFg2cutvlMnG/Tiko.jpg?width=650)
TIKO: WAUME ZA WATU SASA BASI!