UHARIBIFU WA BARABARA DAR
Gari likiwa limekwama katika moja ya kingo ya barabara ya Morogoro maeneo ya Jangwani. Hii ndiyo kingo ambayo imekuwa ikipandwa na magari mbalimbali, kwa mbali ni gari lililonasa. KAMERA ya GPL leo imelinasa gari moja maeneo ya Jangwani jijini Dar, likiwa limenasa katika moja ya kingo za barabara ya Morogoro baada ya kutaka kuruka kingo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Mar
‘Uharibifu wa barabara sasa basi’
10 years ago
Habarileo12 May
Tanroads kuchunguza uharibifu wa barabara
WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeunda timu ya wataalamu wake na kushirikiana wenzao wa Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa masuala ya Barabara kutoka nchi ya Afrika Kusini kwa ajili ya kuchunguza kwa kina chanzo za uharibifu wa barabara kuu za lami nchini.
5 years ago
MichuziUHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIMBO LA MKURUNGA WASABABISHA NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA KUTOA MAELEKEZO KWA TARURA
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega amefanya ziara katika kata mbilimbali za jimbo hilo kwa lengo la kukagua miundombinu ya barabara ilivyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Kutokana na uharibifu huo Ulega amemtaka Meneja wa Wakala wa Ujenzi wa Barabara Vijijini (TARURA) kutafuta namna ya kuhakikisha barabara hizo zinapitika.
Akizungumza hivi karibuni jimboni humo na baadhi ya wananchi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete azuru Maeneo ya Mafuriko Dar-Ajionea Uharibifu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kqsYtjZaciI/VU3pzhss-eI/AAAAAAAHWbg/v0FN71br1PE/s72-c/16.jpg)
TAZAMA ATHARI YA MVUA ILIONYESHA JIJINI DAR NA KUPELEKEA UHARIBIFU MKUBWA WA MIUNDOMBINU KAMA HIVI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqsYtjZaciI/VU3pzhss-eI/AAAAAAAHWbg/v0FN71br1PE/s640/16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h81Xc0qF4eo/VU3p0MEceQI/AAAAAAAHWbo/uIPguZKTLzA/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bYtSIkCyexs/VU3p0f7qMRI/AAAAAAAHWbs/Ddv_c1VM07M/s640/18.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pncKsWZMYeo/VU3p06V6tiI/AAAAAAAHWbw/hHAAMk0B_Dw/s640/19.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
11 years ago
Habarileo25 May
Barabara Dar- Chalinze kulipiwa
WIZARA ya Ujenzi imesema inaendelea na maandalizi ya ujenzi wa barabara mbadala kati ya Dar es Salaam na Chalinze kwa kiwango cha Expressway na itakuwa ya kulipia yenye njia sita.