TAZAMA ATHARI YA MVUA ILIONYESHA JIJINI DAR NA KUPELEKEA UHARIBIFU MKUBWA WA MIUNDOMBINU KAMA HIVI.

Athari ya mvua hasa kwa miundo mbinu ni kubwa,pichani ni sehemu ya barabara ya mbezi chini ikiwa imekatika kufuatia mvua kubwa ilionyesha siku nzima ya jana.
Uchafu mkubwa uliokuwa umeziba daraja la mto mbezi chini ukiondolewa baada ya maji ya mto huo yaliyokuwa yakitiririka kwa kazi,kuziba kwa daraja hilo ilipelekea maji ya mto huo kupita juu ya daraja na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa eneo hilo na sehemu nyingine.
Athari kubwa ya mvua iliyopelekea kuleta adha kubwa katikati ya jiji la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL25 Mar
10 years ago
Michuzi.jpg)
News alert:mvua za masika zasababisha maafa, uharibifu wa nyumba na miundombinu leo
.jpg)
11 years ago
GPLHIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR
9 years ago
StarTV16 Nov
Ujenzi waendelea kwa kasi mabondeni Dar es Salaam licha ya athari za mvua
Shughuli za kuendeleza maeneo ya Mabondeni jijini Dar es Salaam zinachukua kasi kubwa licha ya Serikali kutoa tahadhari na kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhama.
Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na uelewa mdogo wa jamii juu ya madhara yanayotokea pindi mvua nyingi zinaponyesha na kusababisha maafa kwa jamii iishiyo maeneo hayo.
Katika hali ya kushangaza maeneo haya ya mabondeni ambayo Serikali imekuwa ikizuia watu kuishi, kutokana na kuwa hatarishi kwa maisha, wakati mvua za masika...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Hivi kero za mvua zitaisha lini Dar?
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...
11 years ago
GPL
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Mvua yaleta uharibifu Tz
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani
Asubuhi ya December 15 jijini Dar Es Salaam ilinyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali kiasi hata kupelekea baadhi ya watu, kushindwa na wengine kuchelewa kwenda kazini kutokana na mvua kuwa kubwa. Mtu wangu wa nguvu baada ya mvua kukata ilibidi nitembelee mitaa tofauti tofauti ya Jiji la Dar Es Salaam ili kuona hali ya maeneo […]
The post Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani appeared first on TZA_MillardAyo.