Hivi kero za mvua zitaisha lini Dar?
Kwa kawaida mvua ni neema kutokana na faida nyingi inazoleta kwa jamii, hasa kwa nchi maskini kama Tanzania ambazo hutegemea sana kilimo ambacho hakijaendelezwa sana kiasi cha kuwa cha kisasa kwa sehemu kubwa ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6rJ37LjWP9h55Jf6n5s2fyzdm8E2RiYs1z8trQNppPoxsDgwlD5j54Oe18uUvGy33*IOvLUNg1rTdh8ex0kYYC/IMG_4004.jpg?width=650)
AJALI HIZI ZITAISHA LINI?
10 years ago
GPLMVUA YASABABISHA KERO KWA WANANCHI DAR
11 years ago
GPLMVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR
10 years ago
GPLMVUA YAGEUKA KERO KUBWA KWA WAKAZI WA DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9Xwf8*BIwQl1J1v5-ygXWZFQm8NoahxBuluzMaHLpFkvX8ZcHxnBrwv4S92Z2gFYVFkWVGg2iLoxTnKUvAR4PE2q/IMG_0671.jpg?width=650)
MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA
11 years ago
GPLHIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asOwmW*SKgn3TimauSV90U8GbhosZxDIUVmDtkymzbIbrR3xZEBx5OLgW1QVTszl7vqi*pfL776P6StFi2Bwzdp/IMG20140408WA0012.jpg?width=650)
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani
Asubuhi ya December 15 jijini Dar Es Salaam ilinyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali kiasi hata kupelekea baadhi ya watu, kushindwa na wengine kuchelewa kwenda kazini kutokana na mvua kuwa kubwa. Mtu wangu wa nguvu baada ya mvua kukata ilibidi nitembelee mitaa tofauti tofauti ya Jiji la Dar Es Salaam ili kuona hali ya maeneo […]
The post Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani appeared first on TZA_MillardAyo.