Mvua yaleta uharibifu Tz
Kumekuwa na uharibifu mkubwa wa mashamba, nyumba na miundo mbinu. Zaidi ya watu 3000 hawana makazi Morogoro wakisubiri msaada.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Mafuriko yaleta uharibifu Uingereza
9 years ago
Habarileo04 Nov
Sumbawanga yatathmini uharibifu wa mvua
KAMATI ya Maafa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa bado inaendelea kutathmini uharibifu wa mali na makazi uliosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha katika Mji wa Sumbawanga Jumapili ikiambatana na upepo mkali, imeelezwa.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Mvua yaleta kizaazaa
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mvua yaleta maafa
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Mvua yaleta maafa Msumbiji
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Mvua yaleta maafa Lugoba
MVUA iliyoambata na upepo mkali iliyonyesha hivi karibuni imeezua nyumba zaidi ya 150, huku kati ya hizo kuta zake zikiwa zimeanguka na kuwafanya wahanga wa tukio hilo kutafuta msaada wa...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mvua yaleta maafa Angola
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mvua yaleta maafa, yaezua nyumba 83 Meatu
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua za masika Zanzibar zasababisha vifo na uharibifu wa miundo mbinu
Pichani juu na chini ni baadhi ya sehemu za Unguja zilizoathirika na mvua za masika zinazoendelea kunyesha visiwani humo.(Picha zote na Othman Maulid wa www.zanzinews.com)
Na Abdulla Ali-Maelezo Zanzibar
Mvua za masika zinazoendelea kunyesha Visiwani Zanzibar zimesababisha hasara kubwa ikiwemo upotevu mali na mifugo, uharibifu wa miundombinu pamoja na kusababisha vifo vya watu.
Hayo yamweelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais...