Sumbawanga yatathmini uharibifu wa mvua
KAMATI ya Maafa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa bado inaendelea kutathmini uharibifu wa mali na makazi uliosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha katika Mji wa Sumbawanga Jumapili ikiambatana na upepo mkali, imeelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Mvua yaleta uharibifu Tz
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua za masika Zanzibar zasababisha vifo na uharibifu wa miundo mbinu
Pichani juu na chini ni baadhi ya sehemu za Unguja zilizoathirika na mvua za masika zinazoendelea kunyesha visiwani humo.(Picha zote na Othman Maulid wa www.zanzinews.com)
Na Abdulla Ali-Maelezo Zanzibar
Mvua za masika zinazoendelea kunyesha Visiwani Zanzibar zimesababisha hasara kubwa ikiwemo upotevu mali na mifugo, uharibifu wa miundombinu pamoja na kusababisha vifo vya watu.
Hayo yamweelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais...
9 years ago
Habarileo03 Nov
Mvua zaleta maafa Mwanza, Sumbawanga
MVUA kubwa imenyesha katika mikoa ya Rukwa na Mwanza, na kusababisha maafa, ikiwemo vifo vya watu wawili na familia kadhaa kukosa makazi kutokana na nyumba kubomoka.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vxL-mmXSecQ/U3ePcVsw5BI/AAAAAAAAFbk/fFDG09JNY-c/s72-c/IMG_1393.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AKAGUA UJENZI WA MIRADI YA MAJI KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA, APIGA MARUFUKU UHARIBIFU WA VYANZO VYA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vxL-mmXSecQ/U3ePcVsw5BI/AAAAAAAAFbk/fFDG09JNY-c/s1600/IMG_1393.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
News alert:mvua za masika zasababisha maafa, uharibifu wa nyumba na miundombinu leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kqsYtjZaciI/VU3pzhss-eI/AAAAAAAHWbg/v0FN71br1PE/s72-c/16.jpg)
TAZAMA ATHARI YA MVUA ILIONYESHA JIJINI DAR NA KUPELEKEA UHARIBIFU MKUBWA WA MIUNDOMBINU KAMA HIVI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqsYtjZaciI/VU3pzhss-eI/AAAAAAAHWbg/v0FN71br1PE/s640/16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h81Xc0qF4eo/VU3p0MEceQI/AAAAAAAHWbo/uIPguZKTLzA/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bYtSIkCyexs/VU3p0f7qMRI/AAAAAAAHWbs/Ddv_c1VM07M/s640/18.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pncKsWZMYeo/VU3p06V6tiI/AAAAAAAHWbw/hHAAMk0B_Dw/s640/19.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
10 years ago
Habarileo26 May
Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC
SERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.
5 years ago
CCM BlogUGANDA YATATHMINI UWEZEKANO WA KULEGEZA MASHARTI YA WATU KUTEMBEA
Wakati huo huo rais Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Hatua hizo ni pamoja na kila lori kuwa na mtu mmoja - dereva pekee yake...