Mvua zaleta maafa Mwanza, Sumbawanga
MVUA kubwa imenyesha katika mikoa ya Rukwa na Mwanza, na kusababisha maafa, ikiwemo vifo vya watu wawili na familia kadhaa kukosa makazi kutokana na nyumba kubomoka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Mvua zaleta maafa makubwa Dar, mikoani
10 years ago
CloudsFM03 Dec
MVUA ILIVYOLETA MAAFA JIJINI MWANZA
Hali halisi ilivyoonekana siku ya jana katika eneo la Mabatini jijini Mwanza mara baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko makubwa kwa baadadhi ya maeneo na viunga vya jiji. Hii ni barabara kuu inayounga mkoa wa Mwanza na Mara.
Source: G SENGO
10 years ago
GPLMVUA ZALETA MAFURIKO DAR
10 years ago
VijimamboMVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA MJI WA UNGUJA
11 years ago
MichuziMvua zaleta madhara kwenye reli ya Dar-Tanga-MOshi
9 years ago
Habarileo04 Nov
Sumbawanga yatathmini uharibifu wa mvua
KAMATI ya Maafa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa bado inaendelea kutathmini uharibifu wa mali na makazi uliosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha katika Mji wa Sumbawanga Jumapili ikiambatana na upepo mkali, imeelezwa.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-q2-AZbz-53U/VPgpBYCNR-I/AAAAAAAAB3w/1LUdbC4j4HI/s72-c/barafu.jpg)
Mvua ya maafa KAHAMA
Nyumba zaharibiwa, JK atuma rambirambi Watu 40 wapoteza maisha, 85 wajeruhiwa
Hali ya hewa yasema zitanyesha zaidi
Na waandishi wetu, Dar na KahamaWAKATI Watanzania wakiomboleza kifo cha mwanasiasa mahiri, Kapteni mstaafu John Komba, taifa limeingia tena kwenye huzuni na simanzi kutokana na watu 40 kupoteza maisha. Pia, watu wengine 82 wamejeruhiwa vibaya na wengine hali zao ni mbaya huku nyumba, mifugo na mazao, vikiharibiwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kutikisa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mvua yaleta maafa