Mvua zaleta madhara kwenye reli ya Dar-Tanga-MOshi
Sehemu ya njia ya reli katika eneo la Ming’ongo ikiwa inaning’inia baada ya tuta kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipalo Amani Kisamfu pamoja na wakurugenzi kutoka Wizara ya Uchukuzi wametembelea eneo hilo leo mchana kuona athari kubwa iliyotokea kwenye njia ya reli. Aidha, katika njia hiyo kilomita kumi na nane za njia ya reli zimeaharibiwa na mvua hizo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA MJI WA UNGUJA
10 years ago
GPLMVUA ZALETA MAFURIKO DAR
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Mvua zaleta maafa makubwa Dar, mikoani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZgkXPubKZK5Lc-jxRjqIeYsige275uLO1CHdm9YmH*4S845es4cH0uMub4XkAy4K-b-Vk9gQzrriKdc0qjg-ol/globalwhatApp1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOAxbXVC9xUGv1U*xaqHHvKuwkgqBF9nfrI0kUVLs5pxZZ0qN9176j0W66gnTg5Kp9glz7CcbAXJfqoKftpQv4Zm/MVUADAR9.jpg?width=650)
MADHARA YA MVUA ILIYONYESHA LEO JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykW4hGritIO2N1w6ibCawI-7L7AHdXvxUgWEcqsB8nrVnJP*ysKMCQiuJX-eQhdsbOexT1ty4n7cbw0Nx*kmLaip/MVUA9.jpg?width=650)
MADHARA YA MVUA KATIKA ENEO LA BAMAGA JIJINI DAR
11 years ago
GPL13 Apr
9 years ago
Habarileo03 Nov
Mvua zaleta maafa Mwanza, Sumbawanga
MVUA kubwa imenyesha katika mikoa ya Rukwa na Mwanza, na kusababisha maafa, ikiwemo vifo vya watu wawili na familia kadhaa kukosa makazi kutokana na nyumba kubomoka.