Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua zaleta madhara kwenye reli ya Dar-Tanga-MOshi

Sehemu ya njia ya reli katika eneo la Ming’ongo ikiwa inaning’inia baada ya tuta kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipalo Amani Kisamfu pamoja na wakurugenzi kutoka Wizara ya Uchukuzi wametembelea eneo hilo leo mchana kuona athari kubwa iliyotokea kwenye njia ya reli. Aidha, katika njia hiyo kilomita kumi na nane za njia ya reli zimeaharibiwa na mvua hizo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA MJI WA UNGUJA

Mvua zilizonyesha leo Zanzibar na kusababisha maruriko na kuwaweka watumiaji barabara kama inavyoonekana kwenye picha wakati mgumu.Waendesha ,agari nao wakipita kwa uangalifu mkubwa.Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji kutokana na mvua zilizonyesha leo Zanzibar.Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji.Mitaro ikiwa imejaa maji kutokana na mvua iliyonyesha leo Zanzibar.Maji kila sehemu kama unavyoonekana kwenye picha.Wananchi wakitafakali jambo ya jinsi gani yakufanya baada ya mvua iliyonyesha...

 

10 years ago

GPL

MVUA ZALETA MAFURIKO DAR

Mwandishi wa Global Pablishers, Denis Mtima, akielekea kuchukua matukio jana usiku maeneo ya Sinza, Afrika sana ambapo alikumbana na adha hiyo ya mvua. Wananchi wakijaribu kuvuka barabara eneo la Sinza, Afrika sana leo asubuhi.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua zaleta maafa makubwa Dar, mikoani

Mvua zilizonyesha maeneo mbalimbali nchini tangu wiki iliyopita, zimesababisha maafa, uharibifu wa mali, miundombinu na kuacha zaidi ya familia 150 bila makazi.

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA MVUA YA JANA NA LEO DAR....

CHANZO: GLOBAL WHATSApp +255 753 715…

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA MVUA ILIYONYESHA LEO JIJINI DAR

Magari yakipita katika madimbwi ya maji yaliyotokana na mvua kubwa ya maji iliyonyesha leo kwenye mitaa ya jiji la Dar es Salaam.…

 

10 years ago

GPL

MADHARA YA MVUA KATIKA ENEO LA BAMAGA JIJINI DAR

Magari yakipita kwa tabu kwenye Barabara ya Shekilango eneo la Bamaga jijini Dar jana jioni. Hali ilivyokuwa katika eneo la mataa ya Bamaga, Mwenge. Maji…

 

9 years ago

Habarileo

Mvua zaleta maafa Mwanza, Sumbawanga

MVUA kubwa imenyesha katika mikoa ya Rukwa na Mwanza, na kusababisha maafa, ikiwemo vifo vya watu wawili na familia kadhaa kukosa makazi kutokana na nyumba kubomoka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani