Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADHARA YA MVUA YA JANA NA LEO DAR....

CHANZO: GLOBAL WHATSApp +255 753 715…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MADHARA YA MVUA ILIYONYESHA LEO JIJINI DAR

Magari yakipita katika madimbwi ya maji yaliyotokana na mvua kubwa ya maji iliyonyesha leo kwenye mitaa ya jiji la Dar es Salaam.…

 

10 years ago

GPL

MADHARA YA MVUA KATIKA ENEO LA BAMAGA JIJINI DAR

Magari yakipita kwa tabu kwenye Barabara ya Shekilango eneo la Bamaga jijini Dar jana jioni. Hali ilivyokuwa katika eneo la mataa ya Bamaga, Mwenge. Maji…

 

11 years ago

Michuzi

Mvua zaleta madhara kwenye reli ya Dar-Tanga-MOshi

Sehemu ya njia ya reli katika eneo la Ming’ongo ikiwa inaning’inia baada ya tuta kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipalo Amani Kisamfu pamoja na wakurugenzi kutoka Wizara ya Uchukuzi wametembelea eneo hilo leo mchana kuona athari kubwa iliyotokea kwenye njia ya reli. Aidha, katika njia hiyo kilomita kumi na nane za njia ya reli zimeaharibiwa na mvua hizo...

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA

Mafuriko yaliyojitokeza jana Tegeta picha zote za juu. …

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MWANANA ZA JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA YA LEO


Baada ya mvua ya kubwa ya kama masaa mawili mfululizo,maeneo mengi jijini Dar yamejaa maji na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa jiji hili.Pichani ni eneo la Morogoro Road.
Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo.
Matolori ya kuuzia ice creame yakionekana kununiwa leo,huku wapita njia wakiendelea kupiga mbizi kwenye maji hayo.
Hapa ndio inakuwaga kimbebe,maana daladala ndio lishabuma tena.
Hakuna namna nyingine ya kuyakwepa...

 

10 years ago

Vijimambo

MVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA MJI WA UNGUJA

Mvua zilizonyesha leo Zanzibar na kusababisha maruriko na kuwaweka watumiaji barabara kama inavyoonekana kwenye picha wakati mgumu.Waendesha ,agari nao wakipita kwa uangalifu mkubwa.Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji kutokana na mvua zilizonyesha leo Zanzibar.Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji.Mitaro ikiwa imejaa maji kutokana na mvua iliyonyesha leo Zanzibar.Maji kila sehemu kama unavyoonekana kwenye picha.Wananchi wakitafakali jambo ya jinsi gani yakufanya baada ya mvua iliyonyesha...

 

9 years ago

Vijimambo

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DMV ZAANZA KULETA MADHARA

Mvua zinazoendelea kunyesha siku ya pili mfululizo DMV zimeanza kuleta madhara kama unaovyo kwenye picha gari dogo aina ya Nissan ikiwa imeangukiwa na mti lilipokua limeegeshwa katika barabara ya 23 NW Washington, DC. Picha na Eliud Mbowe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani